THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

31 October 2011

NIWEZESHE (Moja ya nyimba za John shabani zinazobari watu) Watch it!

MUME WA MAREHEMU ANJELA CHIBALONZA AJIPATIA UBAVU MPYA

Hatimaye aliyekuwa mume wa marehemu Angela Chibalonza, ajipatia ubavu mwingine. Mtumishi huyo wa Mungu ameoa hivi karibuni huko DRC kongo. Picha hizi ni baada ya wiki chache za ndoa alipohudumu ni mke wake mpya katika kanisa la Mikocheni B assemblies of God, linaloongozwa Na Mchungaji Getrude Rwakatare.
Kuhusu jina la mke wake na habari zote za harusi hiyo tutakujulisha hivi karibuni.
                    Mchungaji Muliri akiimba mke mpya hivi karibuni katika kanisa la mikocheni B

                          Mke wa Elisha muliri akiimba kwa hisia kali



24 October 2011

TANZANIA GOSPEL STARS WAKAMILISHA VIDEO YA WIMBO WA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA

Hatimaye waimbaji wa nyimbo za injili Tanzania  wakiongozwa na mwalimu wa muziki wa injili afrika mashariki bwana John Shabani, chini ya usimamizi wa chama cha muziki wa injili Tanzania (Chamuita) wamekamilisha video ya wimbo ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania. Pamoja na waimbaji mbalimbali kushiriki katika wimbo huo pia yumo mheshimiwa Martha Mlata ambaye amechangia sana katika kufanikisha kurekodi wimbo huo. Baadhi yam abo aliyo yafanya ni pamoja na kufanikisha kupata sare na bendera kutoka serekalini pamoja na kutoa feha za kufanikisha kurekodi video. Pia studio ya Pro arts studio ya jijini Dar es salaam ilijitolea kurekodi sauti. Wazo la kuwakusanya waimbaji wa injili na kurekodi wimbo wa miaka 50 ya uhuru, lilianzishwa na bwana Tc Timothy  Chelula na kumshirikisha mwalimu John Shabani, ndipo walipo kihusisha chama cha muziki wa injili na vyombo mbalimbali vya habari. Muda si mrefu wimbo huo utasambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Baadhi ya waimbaji walioshiriki kurekodi wimbo huo ni:
1. Gloria kilahiro                                            18. Mzee Makassy
2. Amon Kilahiro                                            19. Mzungu Four
3. Masanja Mkandamizaji                                20  Jane Misso
4. Upendo kilahiro                                            21 Addo November
5. Stella Joel                                                  22. Martha Mlata
6. Nely Nyamanga                                         23. Ambwene mwasongwe
7. Joyce Ombeni                                                                                                                       
8.  Bony Mwaitege                                          24. Douglas Pius
9. John Shabani                                              25. Mchumu Maximillian
10. Rose Manoza                                              26. Charles Thobias Malya
11. Yona Abiud                                                  27. Joshua makondeko
12. Miriam Lukindo Mauki                                  28. Daniel Safari
13. Robert Bukelebe                                          29. Naomy Mbwambo
14. Nicholaus Misuzi                                          30. Joseph kasigala
15. Christina Matai                                             31. Debora Said
 16. Tina Marego                                               32. Stara Thomas  
17. Martha Mwaipaja                                        33. Victor Ahron
Na wengine wengi.
                                Mheshimiwa Martha, Mr Masanja na Malimu John wakitabasamu
                  Kampuni ya Pro arts wakiwa kazini
                                  Masanja mkandamizaji akifanya vitu vyake


                            Baadhi ya magari mbalimbali ya waimbaji nnje ya jengo la studio

                     Mwimbaji mkongwe mzee makasi katika pozi
                      Mwalimu John Shabani akiwaongoza waimbaji wa Injili


Pamoja na hayo, viongozi wa chama cha muziki wa injili Tanzania tunatoa wito wa kujiunga na chama hicho, kwani kuna faida nyingi za kujiunga na chama. Fomu sasa zinapatyikana. kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0754818767, 0716560094.

20 October 2011

Chama cha muziki wa Injili (Chamuita) cha ahidi kusomesha watoto yatima

Chama cha muziki wa Injili (Chamuita) kikishirikiana na Marafiki huru pamoja na marafiki wa face book, walifanya ziara wiki iliyopita kutembelea kitua na shule ya watoto yatima. Hakika vituo vipo vingi Dar es salaam kama sio Tanzania. Lakini kituo au shule hiyo ni ya pekee na wanatembelea kituo hicho ni wale wenye upendo wa Agape, kwani shule hiyo ijulikanayo kwa jina la Hoset ipo huko Mkuranga katika mkoa wa pwani. Ni kilo mita 20 kutoka mkuranga mjini, kilo mita 50 kutoka mbagala na kilo mita 65 kutoka jiji la Dar es salaam. Kituo hicho kilichopo katikatika ya pori, kinamilikiwa na Mzee Mwalugaja.

Baada ya kukuguswa na watoto hao wenye vipaji vya ajabu, watu mbalimbali wamejitolea kusomesha baadhi ya watoto, pia chama cha muziki wa injili kimeahidi kusomesha watoto wawili.

 
Baadhi ya watoto wakiimba kwa hisia kali.

Zawadi mbalimbali





13 October 2011

JOHN SHABANI KATIKA ALBUM

6 October 2011

WAIMBAJI WA INJILI WAMTUNUKU MKURUGENZI WA KAMPUNI YA MSAMA PROMOTION CHETI CHA HESHIMA



                                Alex Msama akiwashukuru waimbaji wa injili



                          Waimbaji wa nyimbo za Injili wakiongozwa na mwalimu John shabani, 
        wakiutambulisha wimbo wa miaka 50 ya uhuru wa tanzania mbele ya waandishi wa habari.
        Kulia ni mwimbaji mheshimiwa Martha Mlata, sambamba na Rais wa chama cha muziki wa Injili
        Tanzania (Chamuita) bwana Addo November, Katibu wa Chama Jane Misso, Makatibu wenezi Stella
         Joel na John Shabani, Meneja Wa Praise Power Radio Mr George Mpela na wengine wengi.

Chama cha muziki wa injili Tanzania (Chamuita) kikishirikiana na waimbaji wa injili, wamemtunuku cheti cha heshima (Certificate of appreciation) bwana Alex Msama ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Msama promotions. Amekabithiwa cheti hicho mbele ya waandishi mbalimbali wa habari, ni kwa ajili ya kumpongeza kwa moyo wake wa kupigania haki za wanamuziki kwa kupigana na maharamia wa kazi za wanamuziki.

Pia waimbaji hao kwa pamoja mbele ya waandishi wa habari, wameutambulisha wimbo wa miaka 50 ya uhuru wa Tanzania. Wakiongozwa na mwalimu John Shabani wameimba kwa umahiri mkubwa kiitikio cha wimbo huo. Sehemu ya wimbo huo ni: {Haaa tumethubutu, tumeweza, tunasonga mbele kwa uwez wa Mungu Tanzania. Sehemu nyingine ni: Tuitunze amani yetu watanzania, tudumishi umoja wetu watanzania} Hii ni kwa mara ya kwanzaktika historia ya Tanzania, waimbaji zaidi ya 50 wa nyimbo za injili kuwa maali pamoja na kurekodi wimbo wa kumshuku Mwenyezi Mungu kwa ajili ya uhuru wa Tanzania. Baadhi ya waimbaji walioshiriki kurekodi wimbo huo ni:

1. Gloria kilahiro                                            18. Mzee Makassy
2. Amon Kilahiro                                            19. Mzungu Four
3. Masanja Mkandamizaji                                20  Jane Misso
4. Upendo kilahiro                                            21 Addo November
5. Stella Joel                                                  22. Martha Mlata
6. Nely Nyamanga                                         23. Ambwene mwasongwe
7. Joyce Ombeni                                                                                                                       
8.  Bony Mwaitege                                          24. Douglas Pius
9. John Shabani                                              25. Mchumu Maximillian
10. Rose Manoza                                              26. Charles Thobias Malya
11. Yona Abiud                                                  27. Joshua makondeko
12. Miriam Lukindo Mauki                                  28. Daniel Safari
13. Robert Bukelebe                                          29. Naomy Mbwambo
14. Nicholaus Misuzi                                          30. Joseph kasigala
15. Christina Matai                                             31. Debora Said
 16. Tina Marego                                               32. Stara Thomas  
17. Martha Mwaipaja                                        33. Victor Ahron
Na wengine wengi.

Wengine kwasababu mbalimbali, wameahidi kushiriki kwenye video inayotegemea kuandaliwa mapema iwezekanavyo. Kazi hii kubwa ya kuwakutanisha  waimbaji wa injili na kurekodi wimbo, imefanyika katika studio za PRO ARTS STUDIOS iliopo mbezi africana Dar es salaam, chini ya Producer TC (Timothy Chilula) Ambaye pia ni miongoni mwa waanzilishi wa wazo hili


                    Waandishi wakimuhoji mmoja wa wakongwe wa muziki
                           wa injili Mchungaji Mzungu Four

                              Rais wa Chamuita akiongea na waandishi


                                   Mheshimiwa Martha Mlata ambaye pia ni mmoja wa walezi wa Chamuita
                              akimpongeza Msama pamoja na  kutoa wito kwa serikali kuliangalia suala la wanamuziki
                              kwa jicho la tofauti.
                           Waandishi mbalimbali wa vyombo vya habari Nchini Tanzania

MASANJA MKANDAMIZAI NA STARA THOMAS WAUNGANA NA WAIMBAJI WA INJILI KUREKODI WIMBO WA MIAKA 50 YA UHURU

Mchungaji mtarajiwa bwana Masanja Mkandamizaji pamoja na mwana mama aliyempa yesu maisha hivi karibuni bi stara Thomas, wameungana na wanamuziki wenzao wa injili katikakurekodi wimbo wa kumshukuru Mungu kwa ajili ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania.

                                      Mr Masanja Mkandamizaji

                                        Bi Stara Thomas

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP