THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

29 November 2011

Martha Mwaipaja avishwa pete ya uchumba


Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Martha Esau Mwaipaja (pichani)  amechumbiwa na Mchungaji, John Said anayehudumia Kanisa la Udhihirisho wa Injili lililopo Ukonga jijini Dar es Salaam, Risasi Jumamosi linakupa habari kamili.

Habari zisizo na chenga zilizotua kwenye meza ya ya blog hii zilisema, Martha alivishwa pete ya uchumba na mchungaji huyo  katika Kanisa la Victoria lililopo Ubungo External jijini Dar na baada ya zoezi hilo kulikuwa na sherehe ndogo kanisani hapo kwa ajili ya kumpongeza kwa kufikia hatua hiyo,”
Mwana dada huyo anayetamba na vibao kama vile Usikate tama, wewe ni baba n.k amekiri kuchumbiwa na mchungaji huyo na kuongeza shughuli ya kesho ilinogeshwa na waimbaji wenzake kama vile Bahati Bukuku, Sarah Mvungi, Ambwene Mwasongwe na Christina Matai.
Wengine ni David Robert, Debora John, Josephine Mwasulama, Ado November, Jennifer Mgendi, Lianga George, Stella Swai na wengineo.

11 November 2011

ZIARA YA KUENEZA CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI MIKOANI

                           bwana John Shabani akihojiwa na bi Revina Steven mtangazaji
                        wa Top radio kuhusu chama cha muziki wa injili Tanzania


                     Mkurugenzi wa Top radio bwana Steven Lukindo akiwa katika picha
                     na makatibu wenezi wa chamuita.

                                         bwana Magida Timotheo amabaye ni mjumbe wa chamuita
                            anayewakilisha watu wenye ulemavu, akiwa ameshikilia katiba ya chama
                            kabla ya kukikabidhi kwenye uongozi wa morogoro
                                      

                           John Shabani akikabidhi fomu za kujiunga na chama

                    Wawakilishi wa kwaya, bendi na waimbaji binafsi wakionyesha nyuso za
                   furaha baada ya kuletewa chama cha muziki wa injili morogoro.



                                  Viongozi wa chama wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa
                              Vatican Lodge bwana Thomas B. Butabile. Hapo ndipo walipofikia viongozi hao.
                                                Maswali mbalimbali yakiulizwa

Chama cha Muziki wa Injili kupitia kamati ya uenezi chini ya makatibu wenezi bwana John Shabani na bi stella Joel, wameanza ziara ya kukieneza chama hicho mikoani, wakianzia na mkoa wa morogoro. Ziara hiyo imetokana na maagizo ya shirikisho la muziki Tanzania (Tanzania music federation) na braza la sanaa la taifa (BASATA), kwamba chama hai ni kile kilichoenea nchi nzima. Wakwa mkoani morogoro, viongozi hao wakiwa wameongozana na mwimbaji bwana Magida Timotheo ambaye ni mjumbe wa chama hicho anayewakilisha watu wenye ulemavu, wamepewa ushirikiano mkubwa na Top Radio chini ya uongozi wa bwana Steven Lukindo. Pia Dada Revina Steven na Dada Bupe kama watangazaji wa redio hiyo, wamefanya kazi kubwa ya kuhamasisha wakaaji wa morogoro na vitongoji vyake, waweze kujiunga na Chama hicho. mamia ya wakaaji wa morogoro wameonyesha kuitikia mwito wa kujiunga na chama hicho na kuomba ziara hiyo isiishie morogoro peke yake bali katika nchi nzima. Viongozi hao wa chama wamekabidhi katiba ya chama na fomu za kujiunga na baada ya muda si mrefu uongozi wa mkoa wa morogoro utaundwa chini ya usimamizi wa makao makuu

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP