THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

31 August 2013

WILL BE MISSING YOU OUR ARCH BISHOP DR.MOSES KULOLA


 

 You have shown us how it means to be a Child of God and abide in the walk of faith in Christ Jesus , we got the grace of God by reading of the Great men of God in the Bible at the same time we witnessed you living according to them in the manner of God in this ages, thus gives us a lot to believe and increase our desire to live in the divine wills of God for we heard and saw you practiced it in your life since your time of youth.

May the Lord help us to live and do more than what you taught and preached us regarding the Gospel of Jesus Christ our Lord and Savior. Amen

AMBAYE ALIONGOZA MAKANISA 4000 
Askofu Kulola aliyeketi akiwa na waimbaji wa injili nchini Mwinjilisti Faustin Munishi mkono wa kushoto pamoja na Emmanuel Mwasota. mwanzoni mwa mwaka 1970
 
                              Askofu Kulola akiwa na Askofu Gamanywa

 Askofu Kulola akimbusu mjukuu wake Flora Mbasha

  Moses Kulola, alizaliwa mwezi Juni 1928, katika familia ya watoto kumi, na watano kati yao bado ni hai. alisajiliwa katika shule ya kwanza mwaka 1939 iitwayo Ligsha Sukuma shule ya misheni baada ya Ligsha, alijiunga na taasisi ya usanifu mwaka 1949. Alibatizwa mwaka 1950 katika Kanisa la AIC Makongoro.
Ni mume wa Elizabeth na wamezaa watoto10 ambapo saba bado hai.alianza kazi za kimisionari mwaka1950 japokuwa aliitwa mwaka 1949 mara tu baada ya kubatizwa.

Mwaka 1959 alianza kufanya kazi serikalini, wakati huo huo akihubiri Injili katika miji na vijiji. Utumishi wake mkubwa kwa nchi ulifika mwisho mwaka 1962, ambapo aliamua kujitolea moja kwa moja nguvu zake zote, mwili na nafsi. Mwaka 1964 alijiunga na chuo cha kiteolojia na 1966 alitunukiwa stashahada.

Hakuacha elimu pale tu, aliendelea na masomo mbalimbali ambapo alitunukiwa vyeti mbalimbali katika mataifa mbalimbali.

Alihudumu kikazi kwa miaka miwili kama Mchungaji kabla ya kuwa mpentekoste mnamo 1961-1962, alifanya kazi katika kanisa la TAG 1966 mpaka 1991 ambapo aliamua kuanzishaa makanisa Evangelistic Assemblies God (EAGT), ambapo yalifanikiwa kukua kwa kasi kubwa katika nchi za Tanzania, Zambia , Malawi na kwa ujumla kuna makanisa yapatayo 4000 katika nchi mbalimbali yakiwemo makubwa na madogo
Askofu Moses Kulola anayeongoza makanisa elfu nne, Askofu Msaidizi wake ni Mwaisabila.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQjYo7NiM6p4gB5bP8IDJwGapjtP5TwiXyZtc3_iMeZg2idYvZIsQhyphenhyphenj4_de8bB6oQ8P8VmVDBgDvlRXn3TR1RiZLOaA8azsjz2ZDmKE_V0D3-q6ixxoWkMOXodc_7VVpgWNlVr63OPp1V/s640/2.jpg

Mchakato wa kuongoza makanisa elfu nne si rahisi na kwamba kumefanyika mgawanyiko wa majimbo yasiyopungua 34 ya kazi na kanda tano kwa ajili ya kurahisisha kazi na kila kanda na jimbo lina mwangalizi wake. Nampenda sana Askofu Moses Kulola maana anafanya kazi ya MUNGU kwa moyo na kwa mujibu wa kitabu cha historia yake Askofu Kulola amezunguka Tanzania nzima tena wakati mwingine kwa kutembea kwa miguu na kwenye mazingira magumu sana kiasi kwamba ni wito mkuu wa MUNGU mkuu alionao Askofu Kulola na kwa miaka zaidi ya 60 amekuwa akihubiri neno la MUNGU na hadi sasa MUNGU anamtumia sana, katika mkutano uliopita wa askofu Kulola pale viwanja vya jangwani jijini Dar es salaam maelfu ya watu walihudhulia na wengi sana kufunguliwa na injili anayohubiri askofu Kulola ni injili iliyonyooka na akiwataka wanadamu kumpa YESU KRISTO maisha yao ili wapate uzima wa milele bure.

Ukiacha mengi ambayo Mungu anaendelea kumtumia mtumishi wake huyu, kuna suala la nywele zake, askofu Kulola kama tulivyowahi kuandika siku zilizopita, hajanyoa nywele zake kwa takribani miaka 47 sasa, kwakuwa hakupendezwa na suala la kwenda salon kunyoa nywele zake hivyo akamwambia Mungu nywele alizokuwa nazo kwa wakati huo zisikue zaidi au kupungua, na ndivyo ilivyo mpaka sasa wembe haujapita kichwani mwake.

19 August 2013

DARE ES SALAAM BONNKE CRUSADE 2013 - SHILINGI MILIONI 319 ZAOMBWA KUFANIKISHA MKUTANO WA BONNKE DAR ES SALAAM





BAJETI iliyowasilishwa na Kamati ya Maandalizi ili kufanikisha mkutano wa Injili wa mhubiri wa kimataifa, Mwinjilisti  Reinhard Bonnke unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania Agosti 21 hadi 25, mwaka huu ni dola 199,314.38 sawa na Shilingi za kitanzania 318,903,000.

Kamati hiyo inaongozwa na Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la TAG, Magnus Mhiche (mwenyekiti), Mchungaji Kiongozi wa huduma ya The Oasis Healing Ministry, Prosper Ntepa (makamu mwenyekiti), Katibu Mkuu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania-Pentecoste Council of Tanzania (PCT), Askofu David Mwasota (katibu), na Askofu Bathlomew Sheggah, ambaye ni mhamasishaji.

Hadi Jumatano Agosti 14, kamati hiyo ilikuwa imepokea dola 60,000 sawa na Shilingi za kitanzania karibu milioni 100. Kwa mujibu wa bajeti hiyo, waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali ambao watahudhuria mkutano (press conference) kabla ya Bonnke kuanza kuhubiri, watatia kibindoni shilingi laki moja kila mmoja. Bajeti kwa ajili ya tukio hilo tu imepangwa kuwa dola za Marekani 1,212.50 sawa na shilingi za kitanzania 1,940,000.00
Katika bajeti hiyo imeelezwa kuwa viongozi watano wa kamati hiyo kila mmoja atapata malipo ya shilingi za kitanzania 200,000 kwa ajili ya mawasiliano na shilingi 350, 000 kwa ajili ya mafuta ya gari kwa siku moja. Bajeti hiyo inaonesha kutenga shilingi za kitanzania 2,100,000 kwa ajili ya wamama watakaokesha kuombea mkutano huo. Bajeti kamili imewatengea Wamama Shilingi za kitanzania 11,180,000.
 Bajeti kamili imekaa kama ifuatavyo:
Hospitality  Tsh 765, 0000   USD 478.13
Protocol      Tsh 9,665,000   USD 6,040.63
Counselling & Follow-up  Tsh 10,779,000 USD 6,736.88
Transport  Tsh 32,300,000   USD 20,187.50
Security Tsh 9,902,000   USD 6,188.75
Intercessory  Tsh 7,800,000  USD 4,875.00
Ushers  Tsh 4,600,000   USD 2,875.00
Music and Praise Tsh 8,400,000  USD 5,250.00
Administration & Central Committee    Tsh 50,940,000.00 USD 31,837.50
Women  Tsh 11, 180, 000  USD 6,987.50
Publicity  Tsh 83,100,000    USD  51,937.50
Interpretation  Tsh 3,000,000 USD 1,875.00
Technical  Tsh 4,000,000     USD 2,500.00
Fire Conference Tsh 6,000,00 USD 3,750.00
Youth  Tsh 5,000,000    USD  3,125.00
Bajeti hiyo haigusi gharama za malazi ya Bonnke na watumishi atakaoambatana nao akiwemo Mchungaji Daniel Kolenda. Zinahusisha malipo katika ukumbi wa watu maalum katika uwanja wa ndege (VIP Lounge) kwa siku mbili watu 11 ambapo zimeombwa shilingi za kitanzania 2,200,000.
Aidha, bajeti hiyo inahusisha pia usafiri wa Bonnke na watu atakaoongozana kutoka na kwenda uwanja wa ndege ambapo zimeombwa shilingi za kitanzania 1,000,000. 
Bajeti kamili ya kamati hiyo ni kama ifuatavyo:

 “Bahasha” kwa waandishi wa habari wanapohudhuria mikutano kama hiyo ambayo mara nyingi huchukua muda mfupi tu, ni kosa la kimaadili kwao na hata kwa wanatoa, lakini kiwango hicho cha “bahasha” kinaelezwa kuwa kikubwahivi KaLakini, inadaiwa kiasi hicho cha fedha ni kikubwa

15 August 2013

MAMA MZAZI WA BELLA KOMBO AFARIKI DUNIA


 Bella kombo kikazi zaidi

Precious (Dada wa Bella Kombo)
 
Ni huzuni na majonzi kwa familia ya kina Bella Kombo, marafiki, ndugu na jamaa, kwa msiba mzito uliotupata wa kupotelewa na Dada Joyce Theophil (mama Bella Kombo). Mwili umeagwa leo pale muhimbili na kusafirishwa kuelekea nyumbani tanga. Tutaendelea kukujuza zaidi
www.johnshabani.blogspot.com

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP