THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

30 July 2014

HATIMAYE ALINE VYUKA ATUA DAR


Kushoto ni John Shabani akifuatiwa na mgeni wake kutoka USA, mwana dada Aline Vyuka pamoja na rafiki zetu wengine baada tu ya kutua Dar es salaam
Hapa ni shilo studio, sehemu ya kupata kifungua kinywa na msosi
Hapa kazi imeanza ndani ya shilo studio

Ashukuriwe Mungu wetu kwa kumfikisha Aline Vyuka salama hapa Bongo. Najivunia kuwa na mwanafunzi mwenye bidii kama huyu. Tumekuwa tukifanya masomo ya uimbaji (Singing lessons) kwa njia ya mtandao na sasa nimempokea rasmi Dar es salaam baada ya safari ndefu kutoka huko kwao kwa Mr. Obama. Tayari kazi rasmi ya kuandaa nyimbo kwa mfumo wa audio na video imeanza.

28 July 2014

HONGERA FURAHA ISAYA

 Furaha isaya akiimba kwa hisia katika tamasha aliloliandaa mwenyewe, ndani ya ukumbi wa Urafiki Social Hall - Dar es salaam
 Furaha Isaya sambamba na mwalimu John Shabani wakishusha uwepo
Hii ni timu nzima iliyomsaidia furaha kuimba live.

Hongera Furaha Isaya kwa kuthubutu kufanya tamasha la live, pia kunishirikisha mimi kama mwalimu wako kikamilifu. Najua zipo changamoto nyingi pamoja na gharama, jambo ambalo hata waimbaji wengi, na wengine wenye uwezo kidogo, hawajawahi hata kuthubutu.
Katika Dunia ya sasa, suala la kutumia mtindo wa mshindo nyuma (play back) sio kabisa!... Nivizuri hata kujifunza kwa watu wengine. Wewe umejitaidi, na ninaamini utafika mbali usipozimia moyo. Songa mbele mwanafunzi wangu ninayejivunia. Gharama uliotumia ni mbegu kwa ajili ya mafanikio yako makubwa.

26 July 2014

CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI CHASABABISHA DAR ES SALAAM- JANUARY MAKAMBA AONGOZA MKUTANO WA WANAMUZI WA MUZIKI WA INJILI NA WASAMBAZAJI NA TAASISI MBALIMBALI ZINAZOHUSIKA NA MUZIKI TANZANIA





Katika kikao hicho Mh. Januari Makamba aliweza kutoa hutuba ndefu yenye ufasaha kwa wanamuziki wa Injili Tanzania. Hotuba yake ilikuwa na matumaini kwa wanamuziki na iliweza kuwafurahisha sana wanamuziki hawa hasa pale alipoweza kutoa ahadi zake za kukisaidia Chama Cha Muziki wa Injili Tanzania ikiwemo kuwaahidi kuchangia katika kufanikisha zoezi la kuwa na Channel ya TV ya waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania, kuwa na studio ya kisasa itakayomilikiwa na chama cha muziki Tanzania, kufikia suala la kupata eneo la kuendeshea shughuli zao n.k. Aliomba sana wanamuziki kuwa na nguvu za bidii za kuweza kufanikisha yale yote yanayowazunguka na wasibweteke wakisubiria, na pia wanamuziki wa injili wanategemewa kuwa kioo na mfano wa kuigwa, hivyo wawe na nidhamu na uchaji wa Mungu na kujiepusha na skendo, maana nyimbo za injili zinapendwa na kila mtu hata wapagani na wale wa dini zingine. Pia ameahidi kutekeleza ahadi zake haraka iwezekanavyo

 Wadau wa muziki wa Injili wakiwa kwenye mkutano huo.
Katibu wa Shirikisho la Muziki wa Injili John Shaban akiendesha mkutano.

 Kiongozi wa mtandao wa wanamuziki Tanzania, mzee John Kitime

 George Mpella akiwakilisha vyombo vya habari vya kiristo

 Kutoka TRA

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare (kulia), akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimba kwa wadau wa muziki wa Injili. Wa pli kulia ni Muimbaji wa nyimbo za Injili, Christina Shusho.

 Watu mbali mbali wakiuliza maswali

 Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba (kushoto),  akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanzania Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam  kabla ya kumakribisha mgeni rasmi wa mkutanmo huo, Mhe. January Makamba.

 Balozi mstaafu, Profesa Coster Mahalu akizungumza na wadau wa muziki wa nyimbo za Injili. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Kinondoni Revival Choir, Dk. Jotham Mackenzie





Wadau wa muziki wakiwa kwenye mkutano huo wakifuatiliamambo mbalimbali.
Wadau wa muziki wakiwa kwenye mkutano huo.
 

 Wawakilishi wa ATN (Agape Television Network)


Kiongozi CHAMUITA  kutoka Morogoro akikabidhi MIC baada ya kujitambulisha
Muwakilishi kutoka ATN akijitambulisha


 John Shabani akihakikisha kila kitu kinakaa sawa




 Wadau wa eneo la  usambazaji wa kazi za wanamuziki wakiwa kwenye mkutano huo




  Mwanahabari wa Kituo cha TV 1, Gervas Mwaitebela naye alikuwepo kupata taarifa za mkutano huo.

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba (kulia), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo.














22 July 2014

PAMOJA NA KEBEI NA KUZOMEWA MCHUNGAJI STELLA AENDELEA KUHUBIRI INJILI

 Mchungaji Stella Mahiga akiendelea kuchapa injili maeneo ya k/koo
Huku akiendelea kuhubiri, huku akizomewa na kundi la watu

Mhubiri wa Injili ambaye ni mama aliyejitambulisha kwa jina la Stella Mahiga amejikuta akipata wakati mgumu alipokuwa anahubiri majira ya jioni katika kituo cha kupandia daladala kilichopo Kariakoo jijini Dares salaam.
Aidha, mhubiri huyo aliyekuwa anahubiri kuhusu wokovu amejikuta akizomewa na watu aliokuwa akiwahubiria injili katika eneo hilo. Asilimia kubwa ya watu walikuwa katika hilo walikuwa ni wa dini nyingine.
Mpaka mwandishi wetu anaondoka katika eneo hilo aliacha wananchi wakiwa wanamzomea mhubiri huyo kwa maneno ya kejeli. Kwa ujumla hajapata ushirikiano hata kidogo kutoka eneo hilo, lakini Neno litaendelea kuhubiriwa.

18 July 2014

VIONGOZI WA CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI TANZANIA KANDA YA KASKAZINI WAFANYA VIKAO KWA MAENDELEO YA CHAMA






CHAMUITA ni Chama cha Muziki wa Injili Tanzania ambacho kinasimamia haki za mwanamuziki wa Injili Tanzania nzima. Chama hiki chenye malengo mazuri ya kuhakikisha mwanamuziki hatokwi na machozi kwa kuonewa kupata kile alichotarajia kukipata kutokana na jasho lake la kumtumikia Mungu kwa njia ya muziki.

Mwanachama wa chama hiki ni yule tu aliyejiunga na chama hiki cha  CHAMUITA na kupata kitambulisho halali kutoka kwa viongozi wa Chamuita.

CHAMUITA Imegawanyika katika kanda mbalimbali kama vile Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Mashariki na Pwana, Kanda ya kusini. Na kila kanda kuna uongozi ulioteuliwa na viongozi kutoka makao makuu ambayo yako jijini Dar es Salaam. Wanachama kutoka kanda hizo wana haki ya kujadilki yale yanowahusu wakishirikiana na uongozi wa juu kutoka makao makuu ya CHAMUITA.

Leo hii tunataka kukuletea baadhi ya picha za viongozi wa kanda ya kaskazini wa CHAMUITA waliofaya vikao vyao vya kanda kwa lengo la kulinda haki za mwanamuziki na mambo mengi yanayowahusu katika kanda yao.
Kikao hiki kilifanyika katika ukumbi wa Kimalia kikiwa na lengo la kuwafikia wanamuziki wa kada mbalimbali katika mikoa minne ya kanda ya kaskazini yaani Tanga, Arusha na Manyara, kupanga siku ya kukutana na kuweka wakfu Chama Cha Muziki wa Injili Kanda ya Kaskazini mwezi wa 10, 2014 katika uwanja wa Obedi. Na sasa wapo mbioni kuongea na mgeni rasmi kutoka serikalini na Baba wa Kiroho kanda ya Kaskazini.




HAYA NDIO MAVAZI YALIYOKATAZWA KANISANI

Asomaye na afahamu!

16 July 2014

APOSTLE ALOIS RUTIVI INVITES YOU TO THE GO YE FORTH CONFERENCE – NAIROBI



“Celebrating the 25 years of effective Ministry” 
 The "Go Ye Forth Conference" starts tomorrow at 5.00pm ... 17th – 20th, 2014 at Nairobi Gospel Assembly Church Ruaraka complex Garden estate.

You are all welcome

14 July 2014

Welcome to Dorcus Christian Ministries “Embassy of God on Earth”



                                             Dorcus Cristian Ministries - Dar es salaam


                                     Dorcus Christian Ministries - Hand of help others

                                          Dorcus Christian Ministries - Burundi branch
                                            Patron Boniface Muhegi praying for people

Bishop Jane Muhegi with orphans
 
Our prayer for you is that the God of all grace anoints you with fresh oil and His precious Spirit illuminates the Word as you read. May He empower you to effectively communicate to others the vibrant hope that He has given you to persevere the struggles that you have overcome and continue to overcome.
Furthermore, my Husband and I pray that your home be a reflection of the joy and peace that God has promised to all of His children who follow Him. We bless your children, the fruit of your body. We speak life into your marriage, your ministry and your mission.
As you lie down at night we pray for more than sleep. We pray for rest. Rest in Him and arise refreshed for we need you. Your prayers, your support and your love are important to us. So we pray you will take care of yourself.
-Bishop Jane Muhegi

We have pleasure to introduce Dorcus Christian Ministries to you. First and foremost is a christian oriented organization which was born through great travail in prayer to God. It actually existed in the heart of the founder as a normal spoken vision before its birth.
The founder had done tremendous task on voluntary basis to affirm her vision and the white side of God truth to the orphans, widow, disables and other member of the communiy by supporting them both spiritually and physically as God supplies by promote and provide social service and activities within the communities.
Through this ministries we have seen the glory of God his unconditional love as it overflows to all his people. His love is what has made us what we are today as the body of Christ as we become stronger in faith, hope and love.
Kindly note that this organization is a purely non organization and doesn't have any absolute connection with political affairs of other than to pray for the development of the country.
The Ministry was founded by Pastor Jane Muhegi in the year 2003 after prompting to register the Umoja wa kuendeleza Vijana yatima Ubungo (UKUVYU) in the year 2000.
The Dorcus Christian Ministries handles issue that pertain to spiritual while UKUVYU specializes in matters relating social and economic aspects of the community.
Both Ngo’s are open to serve all people without any boundaries, religious backgrounds, color and tribal backgrounds.etc.

For any help or request, please feel free to contact us by calling, mailing or coming to us directly.

Postal Address: 13504
Kunduchi Beach - Near Jordan Sec. School
Bahari Beach Road.
Dar es Salaam – Tanzania
+255-22-2650378
dorcuschristianministries@yahoo.com
info@dorcuschristianministries.org

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP