THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

9 August 2017

MSICHANA/MWANAMKE AMBAYE HAUJAOLEWA, KUWA KIROHO ISIWE SABABU YA KUTO-JICHANGANYA NA WATU NA KUJENGA MAHUSIANO

 WOKOVU SIYO KUWA  "ANTI SOCIAL" (KUTO KUJICHANGANYA NA WATU)
 Mara nyingi, mahusiano yanayopelekea uchumba hadi ndoa, huanzia katika hutua ya URAFIKI. urafiki hujengwa kwa watu kuwa pamoja, kubadilishana mawazo, kula pamoja, kucheza na kufanya mambo mengi pamoja.



Kotoka kwa Pastor Zakayo Nzogere
WARAKA WA PILI WA ZAKAYO KWA "BACHELORETTES" (Wanawake/Wasichana ambao hawajaingia kwenye ndoa na walio katika mchakato wa kupata wenzi wa maisha).


Utafiti unaonyesha kwamba wadada wengi “WAPENDWA” wanashindwa katika kipengele cha URAFIKI. Wapo wanaodhania kuwa KIROHO ni kuwa full-time kwenye maombi; yani hakuna muda wa kucheka na kufurahi, hakuna michezo, wala kuzoeana na WANAUME. Huu ni msimamo potofu. Yani unakuta MDADA yeye full-time anongelea maombi, mkesha, ushuhudiaji, na ibada. Hana muda wa kuzungumza mambo ya kawaida yanayohusu maisha na mahusiano hata na vijana wa kanisani.
Ni kweli ni vizuri kuwa KIROHO; lakini kuwa kiroho isiwe sababu ya kuto-jichanganya na watu na kujenga mahusiano. Kuna baadhi WADADA WAPENDWA wanawaona WANAUME wote ni watenda dhambi. Yani mtu akitaka kuanza nae mahusiano ya kujuana/urafiki, yeye tayari anakuwa kwenye ALARM ya DANGER… yani anachokiona kwa kijana ni kwamba lazima atakuwa ana nia mbaya.
Ushauri wangu kwa WADADA ni kwamba ni muhimu tujenge mahusiano ya kirafiki na vijana makanisani mwetu. Urafiki ni hatua muhimu ya kufanya maamuzi yanayopelekea uchumba hadi ndoa. Tusivae SURA YA MAOMBI kila saa….!!
Kwa upande mwingine, VIONGOZI WA MAKANISA, tusiwawekee vijana wetu (KIKE/KIUME) vikwazo vingi ambavyo vinasababisha wasiweze kujenga mahusiano. Ni kweli lazima TUSISITIZIE UTAKATIFU lakini tusifanye WOKOVU UGEUKE GEREZA. Tusiporuhusu wajenge mahusiano, je, wataoanaje?? Tuwafundishe vijana wetu wawe na nidhamu ya kuweza kujisimamia na kujua MIPAKA ya urafiki na mahusiano kati yao. Vijana wetu wakibanwa sana wataanza mahusiano kwa siri ambayo mara nyingi huishia vibaya; pia wanaweza kutafuta marafiki nje ya kanisa ambayo pia matokeo yake siyo mazuri sana.
MITHALI 17:17 (BHN); "Rafiki wa kweli ni rafiki siku zote, ndugu huzaliwa asaidie wakati wa taabu."

 

2 August 2017

MUNGU NI MKUBWA

WANADAMU WANAWEZA KUKUCHUKIA, WAKAKUFANYIA KILA AINA YA UOVU, WAKATAMANI UFE, LAKINI KWA MSAADA WA MUNGU UTABAKI SALAMA.



Mtoto aliefungwa nyororo ili afe miaka kadha iliyopita na kutupwa uko Nigeria, akaokotwa na jeshi la polisi akalelewa na baloz uko uko Nigeria; sasa yuko vizuri, mwenye afya njema kwa muujza wa Mungu. Huwezi kuamini  kwamba hata dalasani.

Hakika mwacheni Mungu aitwe Mungu.

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP