8 May 2012
TANGAZO KWA WAIMBAJI NA WANAMUZIKI WOTE WA INJILI NCHINI
10:29
No comments
CHAMA CHA
MUZIKI WA INILI TANZANIA (CHAMUITA) CHENYE USAJILI NAMBA BST 4598, KINAWATANGAZIA WAIMBAJI WOTE WA INJILI, WANAMUZIKI,
WATANGZAJI WA REDIO ZA INJILI, MAPRODUCER NA WAPENZI WA MUZIKI WA INJILI, WAJAZE
FOMU ZA KUJIUNGA NA CHAMA, NA KISHA WAPEWE KADI ZA UANACHAMA. ZINAHITAJIKA
PICHA ZA PASPORT SIZE MBILI.
KUTOKANA NA
MAELEKEZO KUTOKA SERIKALINI, UONGOZI WA TRA ULIKUTANA NA VIONGOZI NA WADAU MBALIMBALI WA MUZIKI WAKIWEPMO PIA
VIONGOZI WA CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI CHINI YA SHIRIKISHO LA
MUZIKI TANZANIA.
MASUALA
MBALIMBALI MUHIMU YALIJADILIWA. LA MUHIMU NI KWAMBA IFIKAPO MWEZI WA SABA,
MCHAKATO WA KUBORESHA SANAA NA WASANII NCHINI UTATAZAMWA KWA UMAKINI ZAIDI, NA
WATAKAOFAIDIKA NI WALE WALIOJIUNGA NA NA VYAMA HUSIKA VINAVYOUNDA MASHIRIKISHO
YANAYOTAMBULIKA NA SERIKALI. HIVYO BASI, NI WITO WETU KWA KILA MMOJA KUJIUNGA
NA CHAMA.
KUTOKANA NA
TATIZO LILILOJITOKEZALA KUFUNGIWA OFISI ZETU PALEW SILENT INN, UONGOZI UMEKAA
NA WALEZI WA CHAMA (M r. Alex Msama na Mheshimiwa
Martha Mlata, NA WALEZI WAMEAHIDI KULITAFUTIA UMBUMBUZI HARAKA IWEZEKANAVYO
SUALA LA OFISI. KWA SASA DARE ES SALAAM, FOMU ZINAPATIAKANA DUKA LINALOTAZAMANA
NA SHELI YA UBUNGO, KATIKA DUKA LIITWALO: MUNGU MSAADA WETU.
MCHAKATO WA
KUKIENEZA CHAMA NCHI NZIMA UNAENDELEA NA BAADAYE KUTAKUWA NA MKUTANO MKUU
LAKINI KWA
SASA, ILI KUPATA TAARIFA ZA CHAMA NA UPATIKANAJI WA FOMU, WASILIANA NA NAMBA
ZIFUATAZO
DAR ES
SALAAM: 0716 560094, 0754800887, 0754396367,
0784334630,
MOROGOGO:
0718807283 AU FIKA OFISI ZA TOP REDIO
TUTAENDELEA
KUKUPA NAMBA ZA MIKOA MINGINE HIVI KARIBUNI
PIA WAWEZA KUWASILIANA KWA BARUA PEPE:
MBARIKIWE NA BWANA
7 May 2012
Connect with Pastor Donis and Nnunu Nkone (Kutana na watumishi wakuu wa Mungu, Mch. Donis na Nnunu Nkone)
11:57
No comments
Connect with Pastor Donis and Nnunu Nkone (Kutana na watumishi wakuu wa Mungu, Mch. Donis na Nnunu Nkone)
on Facebook & Youtube
Watch/listen,
you will get powerful message from above.
One of his message: “How we should listen and obey and follow the Holy Ghost as Christians, Issues of the Tongue (Preaching "The Mess that a Tongue Can Make and the Consequences Thereof)”
YOUTUBE:
FACEBOOK:
link to our page and please like us when you visit
ASKOFU DKT. MOSES KULOLA AKEMEA UZAZI WA MPANGO, ASEMA HUKO NI KUMKOSOA MUNGU--
01:22
No comments
Wakati
Serikali ikiendeleza mikakati ya kutoa elimu juu ya uzazi wa Mpango Askofu Mkuu
wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Dakta . Moses
Kulola amepingana na sera hiyo na kusema ni kuingilia maamuzi ya
Mungu. Kiongozi huyo alisema kuwa hakuna sababu yoyote ya serikali kuweka
mikakati ya kutoa elimu ya kufunga kizazi kwani hiyo ni kazi ya Mungu mwenyewe.
Alisema kuwa kuna kila sababu ya kuikemea mipango hiyo kwani suala la kudai kuwa pawepo na uzazi wa mpango ni kuwa na hofu ambayo inasababishwa na shetani jambo ambalo ni hatari kwa taifa. “Mimi nilifyatua watoto kumi na sikushindwa kuwasomesha japo wapo watu ambao walikuwa wakisema kuwa watanishinda kuwasomesha.
“Ninavyosema kijana mmoja wapo huyo hapo ni mtoto wangu huyo hapo mwenye kipara na huyo ni mtoto wa tatu. Ilipofikia wakati wa Mungu alizuia mwenyewe kwani aliona mke wangu amechoka. Acha kabisa masuala ya kushabikia mambo ya uzazi wa mpango kwani huo ni mpango kamili wa Shetani”, alisisitiza Dakta Kulola.
Aidha kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la EAGT aliwakemea watumishi wa serikali ambao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kuwatumikia wananchi. Hayo aliyaeleza alipokuwa akiongea na wasomi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) katika ibada ya shukrani iliyofanyika katika Kanisa la EAGT Siloam Ipagala Mjini hapa.
Askofu Dakta. Kulola alisema kuwa anasikitishwa na baadhi ya watumishi ambao wamekuwa wakijivunia vyeti vyao ambavyo vinaonyesha elimu walizo nazo lakini wanashindwa kutimiza wajibu wao pindi wawapo ofisini. Kiongozi huyo alisema kuwa wapo baadhi ya wasomi ambao wanachukua masomo yao kutoka nchi za nje, lakini cha kushangaza pindi wanaporudi nchini wanashindwa kufanya kazi zao kama inavyostahili .
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi amewataka wasomi wa Vyuo Vikuu nchini kuwa mfano katika jamii tofauti na ilivyo sasa. Alisema kuwa wasomi wengi ambao taifa linawategemea wamegeuka kuwa vituko kwani wasomi wengi wa Vyuo Vikuu wamekuwa wakiongoza kuingia katika klabu za mziki na kufanya mambo ya anasa.
“Inasikitisha kuona wasomi ambao taifa linawategemea kujihusisha na vitendo vya ajabu, kutokana na vitendo hivyo inatia hofu pindi wakiingia kazini. “Nataka kuwaambia wanavyuo kamwe hamuwezi kuheshimika katika jamii kama mtaendelea kulewa, kujiingiza katika anasa kama inavyofanyika kwa sasa” alisema Dk.Nchimbi.
Alisema kuwa kuna kila sababu ya kuikemea mipango hiyo kwani suala la kudai kuwa pawepo na uzazi wa mpango ni kuwa na hofu ambayo inasababishwa na shetani jambo ambalo ni hatari kwa taifa. “Mimi nilifyatua watoto kumi na sikushindwa kuwasomesha japo wapo watu ambao walikuwa wakisema kuwa watanishinda kuwasomesha.
“Ninavyosema kijana mmoja wapo huyo hapo ni mtoto wangu huyo hapo mwenye kipara na huyo ni mtoto wa tatu. Ilipofikia wakati wa Mungu alizuia mwenyewe kwani aliona mke wangu amechoka. Acha kabisa masuala ya kushabikia mambo ya uzazi wa mpango kwani huo ni mpango kamili wa Shetani”, alisisitiza Dakta Kulola.
Aidha kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la EAGT aliwakemea watumishi wa serikali ambao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kuwatumikia wananchi. Hayo aliyaeleza alipokuwa akiongea na wasomi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) katika ibada ya shukrani iliyofanyika katika Kanisa la EAGT Siloam Ipagala Mjini hapa.
Askofu Dakta. Kulola alisema kuwa anasikitishwa na baadhi ya watumishi ambao wamekuwa wakijivunia vyeti vyao ambavyo vinaonyesha elimu walizo nazo lakini wanashindwa kutimiza wajibu wao pindi wawapo ofisini. Kiongozi huyo alisema kuwa wapo baadhi ya wasomi ambao wanachukua masomo yao kutoka nchi za nje, lakini cha kushangaza pindi wanaporudi nchini wanashindwa kufanya kazi zao kama inavyostahili .
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi amewataka wasomi wa Vyuo Vikuu nchini kuwa mfano katika jamii tofauti na ilivyo sasa. Alisema kuwa wasomi wengi ambao taifa linawategemea wamegeuka kuwa vituko kwani wasomi wengi wa Vyuo Vikuu wamekuwa wakiongoza kuingia katika klabu za mziki na kufanya mambo ya anasa.
“Inasikitisha kuona wasomi ambao taifa linawategemea kujihusisha na vitendo vya ajabu, kutokana na vitendo hivyo inatia hofu pindi wakiingia kazini. “Nataka kuwaambia wanavyuo kamwe hamuwezi kuheshimika katika jamii kama mtaendelea kulewa, kujiingiza katika anasa kama inavyofanyika kwa sasa” alisema Dk.Nchimbi.
6 May 2012
FOI OF MAXIMUM MELODIES PASSES ON (MWIMBAJI MAHIRI WA KUNDI LA MAXIMUM MELODIES CHINI YA UONGOZI WA MTUMISHI PIUS MWIRU AMEFARI DUNIA TANGU TAR 02.3.2012)
11:34
No comments
NAIROBI - Gospel group Maximum Melodies has lost one of its members. Winnie "Foi" Wambui passed away on Friday 02 March 2010 in Nairobi. She had just attended one of the meetings organized by her group when she was knocked down by a Lorry on a Nairobi Street as she proceeded to her other other engagements.
She was the lead vocalist of Maximum Melodies. She was also a dancer and the accountant of the group working in tandem with Rael. Born on 20th February 1985, she had just celebrated her 27th birthday. She will be buried on Friday 9th March 2012. The website www.winniewambui.com has been set up to pay tribute to the gifted singer.
MTANGAZAJI WA PRAISE POWER RADIO, ERICK BRIGHTON AMVALISHA PETE MPENZI WAKE NDANI YA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI B- DAR ES SALAAM
11:20
No comments
Mambo ya pete hayo
Dr. Gatrude Rwakatare, akimimina maombi
Leo ni
siku ambayo Erick Brighton hataisahau maishani mwake kwa kitendo cha ujasiri na
kujidhihirisha kuwa sasa anaenda katika hatua nyingine ya kuwa na mke
aliyedhibitishwa madhabahuni na mbele ya mchungaji wake Dr. Getrude Rwakatare.
4 May 2012
1 May 2012
LET US PRAY FOR NIGERIA (TUIOMBEENIGERIA, HALI SI SHWARI MCHUNGAJI NA WAUMINI WAKE WAULIWA NDANI YA KANISA,WENGINE WAFUNGA MAKANISA)
02:54
No comments
Baadhi ya miili ya watu
waliochomwa moto ndani ya jengo la kanisa.
Ombi limetolewa na mchungaji Yuguda Mburnvwa wa kanisa la
Church of Brethren la nchini Nigeria kuwaombea Wakristo wanaoishi
kaskazini mwa nchi hiyo kutokana na mauaji yanayofanywa na wapiganaji wa
kikundi cha kiislamu kiitwacho Boko haram dhidi ya wakristo wa nchi hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na kituo cha Premier
radio ya kikristo nchini Uingereza,mchungaji Yuguda amesema waumini wapatao 16
wameuwawa katika jimbo la Kano ambapo kwa mujibu wa vyanzo vya ulinzi vimesema
watu wenye bunduki wakiwa kwenye pikipiki walirusha bomu ndani ya ukumbi wa chuo
kikuu ambao unatumika kufanyia ibada na kuwafanya waumini kukimbia huku watu
hao wakiwamiminia risasi na kuwaua.
Kutokana na hilo makanisa mengi kaskazini mwa nchi hiyo
yamefungwa waumini wanaogopa kwenda kuabudu kutokana na vitisho pamoja na
mauaji yanayofanywa na kundi hilo.Amesema katika shambulio lililopangwa
lilisababisha mchungaji mmoja wa kanisa la Church of Christ kufariki dunia
pamoja na waumini wake wanne wakati wakiwa kwenye ibada katika jimbo la
Maiduguri lililopo kaskazini mwa nchi hiyo ambapo hakuna kundi lililojitokeza
kuhusika na mauaji hayo ingawa tukio hilo halina tofauti na matukio mengine
ambayo yamekuwa yakifanywa na kundi la Boko haram.
Mchungaji mwingine aitwaye Fred Williams ameiambia Premier
kwamba alikuwa akiongoza moja ya makanisa lakini kutokana na mapigano pamoja na
mauaji namba ya waumini imekuwa ikipungua kila leo ingawa licha ya hayo kutokea
kikundi hicho hakitaweza kuuondoa Ukristo eneo hilo.Ambapo tangu kuanza kwa
mwaka huu watu 450 wamefariki dunia.
Nchi ya Nigeria imejigawa kwa upande wa kidini ambapo
Wakristo wengi wapo kusini mwa nchi hiyo huku waislamu wakiwa wengi kaskazini
mwa nchi hiyo,kundi la Boko haram ambalo lilitangaza vita na serikali ya jimbo
la kati la nchi hiyo,limekataa mazungumzo ya amani yaliyokuwa yameitishwa na
serikali kwa madai ya kutaka wafuasi wao wanaoshikiliwa kuachiwa huru,ikiwa ni
pamoja na kutambuliwa kwa sheria zao za kiislamu nchini humo.
Kanisa likiwa limeteketea kwa moto.
Baadhi ya wanawake wakilia kwa uchungu baada ya kupoteza
ndugu na jamaa kwenye mauaji yanayofanywa na kundi la Boko haram.
30 April 2012
Flora and Emmanuel In USA; The Memorable Events
12:45
No comments
It is now approaching a month since Flora Mbasha together with her husband Mr Emmanuel Mbasha left Tanzania for tour in USA. In fact the basic objectives of this includes; spreading the word of God through Gospel Music and also taking Tanzania Gospel Music beyond the borders, let it be documented here that the tour has no business purposes. Special thanks should be sent to all fans of Flora Mbasha in Tanzania, USA and even beyond.
PERFORMANCE IN USA
So far Flora Mbasha along side with her husband have performed in various places in USA creating memorable seismic effects which with no doubt shall last for considerable number of years among the fans in USA. In her tour in America, the icon met with various people including American fans, Religious leaders, Gospel artistes and Tanzanian diplomats in USA.
ACHIEVEMENTS
The tour which is expected to end in three weeks to come has achieved many things but maintaining the basic target which is to “spread good News as Jesus sent us to do” , these achievements are as follows;
v Creating a Gospel Music Network whereby Flora succeeded to meet her fans who dwell in USA
v Making new friends and relatives in Christ
v Increasing her experience by performing at International level which not only makes her much better but also much creative.
v Receiving a word of appreciation from American fans for good performance has been one of the notable success which has increased her courage as always she has been.
v Flora Mbasha has tried to wave Tanzanian flag in America by her niece job as recommended by her fans in USA which comprises of live performance and “Tanza-American Gospel Music”.
Henceforth in her own word Flora Mbasha and her husband Mr Emmanuel Mbasha would like to thank all fans in Tanzania and USA , and kindly ask that you pray for them as much as possible so that God is always with them in “Divine-appointed duty of praising Jesus Christ” . Lastly Flora Mbasha wishes you good preparation for the coming Easter and she insists you keep on praying to her as she always does to you!
some of the photos in USA
Subscribe to:
Posts (Atom)
HEART OF WORSHIP





























