27 November 2013
TANGAZO KUTOKA "CHRISTIAN LEADERSHIP UNIVERSITY"
01:29
No comments
Nawakumbusha wanafunzi wenzangu tunaochukua Shahada (Degree) ya Christian Leadership University, kwamba darasa linaendelea na pia huu ndio mwezi wa mwisho wa kulipia dola 100 kwa ajili ya credit transfer. Mungu akubariki sana!Wako katika utumishi; John Shabani
17 November 2013
JOHN SHABANI ATOA SADAKA YA SHUKRANI KANISA LA DORCAS – KUNDUCHI
23:02
No comments
Ni kwa kutambua mchango wa viongozi wa kanisa hilo; Askofu Jane Muhegi
na Mzee Boniface Muhegi, wa kuwalea watoto wa wawili wa John. Watoto hao ni wale
walioachwa na marehemu Debora shabani.
Ni Takriban miaka sita sasa, baada ya kifo cha Debora, wazee hao pamoja
na kanisa nzima la Dorcas Christian Ministry, kwa kuonyesha upendo wao kwa Mch.
John shabani, waliamua kuwachukua watoto hao na kuishi nao. Ni upendo wa ajabu
sana!
Mungu awabariki
sana Bishop Jane na mzee Muhegi,
Mungu alibariki
kanisa la Dorcas!
5 November 2013
3 November 2013
NCHI YA AHADI: KITUO CHA KIROHO KINACHOONGOZWA NA MCH. HARRIS KAPIGA
13:53
No comments
BAADA YA MWALIKO WA KUHUDHURIA IBADA KATIKA
KANISA LA NCHI YA AHADI LINALOONGOZWA NA MCH. HARRIS KAPIGA, HIVI NDIVYO
MWL. JOHN SHABANI ALIVYOAMBUKIZA UPAKO WA SIFA!
John Shabani na Neema Gaspa wakiongoza sifa
Mchungaji Harris akimtukuza Bwana
Maombezi kwa wanafunzi wanatarajia kufanya mitiani ya form IV
2 November 2013
READY THIS MESSAGE FROM PROPHET T.B JOSHUA
14:30
No comments
ATTENTION:
This is an official message from Prophet T.B. Joshua and The SCOAN. There are distorted rumors spreading on the internet concerning T.B. Joshua’s prophecy this past Sunday
This is an official message from Prophet T.B. Joshua and The SCOAN. There are distorted rumors spreading on the internet concerning T.B. Joshua’s prophecy this past Sunday
Rumors are saying that the man of
God said that an East African country will soon be kidnapped by terrorists and
that a night club would be blown up. Do not listen to the father of lies. These
are not the words used by the prophet.
Prophet T.B. Joshua specifically asked journalists not to misquote his
prophecy.
He said that he saw a leader being captured. The prophet instructed the people of God to fast and pray on Wednesday and Thursday. He said Wednesday and Thursday had nothing to do with what was going to happen, but the people of God should fast and pray on those days. He also told the congregation that he will stay in an attitude of prayer for the country concerned, so that God might subdue this coming evil to a mere sign.
He said that the country concerned is not Kenya, but a country close to it. He mentioned that it is the same country in which a similar event took place while they were drinking and dancing. He will continue to pray for them, but he will not mention their names unless God instructs him to do so. This is because many would begin to spread rumors and false allegations against himself, the leader, and the country rather than pray for them. He said if prayer and security are not in place, the blood of thousands will be wasted. Let us all stay in an attitude of faith and prayer, in Jesus’ name.
He said that he saw a leader being captured. The prophet instructed the people of God to fast and pray on Wednesday and Thursday. He said Wednesday and Thursday had nothing to do with what was going to happen, but the people of God should fast and pray on those days. He also told the congregation that he will stay in an attitude of prayer for the country concerned, so that God might subdue this coming evil to a mere sign.
He said that the country concerned is not Kenya, but a country close to it. He mentioned that it is the same country in which a similar event took place while they were drinking and dancing. He will continue to pray for them, but he will not mention their names unless God instructs him to do so. This is because many would begin to spread rumors and false allegations against himself, the leader, and the country rather than pray for them. He said if prayer and security are not in place, the blood of thousands will be wasted. Let us all stay in an attitude of faith and prayer, in Jesus’ name.
28 October 2013
MTANDAO WA WANA MUZIKI TANZANIA WAFANYA WARSHA YA SIKU MOJA JIJINI DAR ES SALAAM
15:32
No comments
Mwalimu john shabani ndani ya warsha hiyo
Picha ya pamoja na naibu katibu mkuu, wizara ya habari, utamaduni na michezo
Mwenyekiti wa mtandao wa wanamuziki Tanzania, akifafanua jambo mbele ya
wana muziki kutoka makundi mbalimbali ya muziki na wadau wa muziki, katika
kujadili mambo mbalimbali likiwemo mustakabali mzima wa mwenendo wa muziki na
wana muziki wa Tanzania. Mengi yamejadiliwa na mwisho, aliyekuwa Mgeni rasmi
katika Warsha hiyo Naibu katibu mkuu Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo,
ametoa pongezi za dhati kwa wote waliofanikisha Warsha hiyo; akianzia na
uongozi wa Mtandao wa wana muziki tanzania (Tanzania Musicians Network), BEST – AC (The Business Environment Strengthening in
Tanzania) ambao ndio waliodhamini warsha pamoja na mshikamano walioonyesha
wasanii kutoka makundi mbalimbali.
Pia Kiongozi huyo wa serikali Mheshimiwa Sihaba Nkinga, amewashauri wasanii kuamka na kwenda na wakati, Kufanya kazi kibiashara,
kufikiria kibishara na kupata taaluma ya biashara.
Amezizungumzia
fursa mbalimbali zilizopo kwa sasa na mikakati inayopangwa ili kuwasaidia
wasanii wa kitanzania.
Warsha hiyo iliofanyika katika mgahawa wa kisasa wa Nyumbani,
imehudhuriwa na wasanii kutoka makundi mbalimba huku upande wa Injili ukiwa
umewakilishwa na mwalimu John Shabani na Sifa John. Vyombo mbalimbali vya
habari vimehusika kuchukuwa habari.
Kwa pamoja tutafika
27 October 2013
CITY HARVEST INTERNATIONAL CHURCH: 3 BIG EVENTS IN ONE SUNDAY SERVICE:
23:37
No comments
John Shabani in the House
Gospel Singers: Emanuel Mpesa and Chesko
Rachael Mmasy leading praise and worship
Catherine Kyambiki in the House
App. Godfrey Waswa in the House
With my Sister Janet Mrema
Dr. Kisui and App. Ntepa
It has never happen, was a wonderful Sunday services:
1.
Church Sevices: one 2 one morning service,
english service and kiswahili service
2.
Marriage service
3.
Marriage collection conference
Kila kitu kilifanyika kwa ubora ndani ya ya kanisa la City
Harvesty linaloongozwa na Rafiki yangu Dr. Livingston. Kwa habari zaidi tembelea:
www.johnshabani.blogspot.com
a.
Ibada bora ya kingereza na kiswahili, Muhubiri
Godfrey Waswa, sifa bora ikiongozwa na mwanadada Rachel Mmasy na Stella Swai wa
Daniel, Uimbaji bora kutoka Ema mpesa na Chesko, Daniel wa ibada njema, mwalimu
John Shabani, Catherine Kyambiki, Janet Mrema na wengine kibao
b.
Ibada ya ndoa ikifungishwa na Nabii kijana
c.
Kongamano la wanandoa, wanenaji wakiwa ni Mtume
Ntepa, Steven Kisui na Mama Kisui, Dr. Livingston likiambata na uimbaji kutoka
kwa Flora Mbasha, Victor Aron, Samson kabata, Jojo mfalme wa kanzu na wengine
kibao
Subscribe to:
Posts (Atom)
HEART OF WORSHIP



























