THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

4 June 2015

LEON MAC'S NA ANNA MAC'S WANANDOA WANAOFANYA VIZURI KATIKA KUMWIMBIA BWANA


Huu ndio muonekano wa ujio wa Leon na Anna. Hakika ni mfano wa kuigwa, lakini pia nyimbo zao zina mguso wa pekee. Jiandae kubarikiwa na nyimbo za zao.



Hivi ndivyo wanavyosema Leon Mac’s na Anna Kihwili Mac’s ambao ni mume na mke: 

Tumemtolea Bwana Yesu maisha yetu miaka 12 iliyopita na tulifunga ndoa miaka sita iliyopita. Wote tumepewa neema ya utunzi na   tumemtumkia Mungu katika makanisa mbalimbali,  kwa hivi sasa Mungu ametupa kibali cha kufanya album yetu ya kusifu na kuabudu tunayotarajia kuimaliza hivi karibuni, inaitwa Roho Mtakatifu (Njoni) na ni jina la nyimbo ambayo tunaitambulisha  sasa

Nyimbo hii ilikuja kwetu kama  ufunuo ambao tumeuishi na kuufanyia kazi kwa muda wa miaka mitano sasa, ni maombi yetu kuwa kanisa tutampa Mungu wetu Roho Mtakatifu nafasi ya Kutukusanya na kutuongoza katika kumwabudu BABA siku zote za maisha yetu.


Albam itakuwa na nyimbo 10 kama

Roho Mtakatifu (Njoni) , karibu Mtukufu ,Naomba nafasi, Asante, Sintoacha kukusifu(Neno),, New song, Nakuabudu, Karibu Roho wa Bwana na nyinginezo.

Tunawaomba wadau wa mziki wa injili kutupa support na maombi katika kipindi chote cha maandalizi na hakika hautapoteza muda maana utafanya kitu kikubwa sana katika ufalme.


Pia wako tayari kwa mialiko ya huduma katika huduma mbalimbali kama semina, mikutano, maombezi n.k

Wafuatilie katika mitandao ya kijamii kama facebook na twittwer kwa majina yao au piga simu namba 
0713375588 au 0716421881 
na MUNGU AWABARIKI SANA.


JOHN SHABANI AUNGANA NA WANAHARAKATI WENGINE WA HAKI ZA BINADAMU KUREJESHA MATUMAINI KWA WAJANE


Baadhi ya wanachama cha wajane Tanzania (Tanzania Widows Association) wakiongozwa na mwenyekiti wa chama Bi Rose Sarwatt pamoja na katibu mkuu John Shabani, wakiwa miongoni mwa waalikwa katika maadhimisho ya miaka 25 ya chama cha wanawake wanasheria Tanzania - TAWLA 



Huwezi kuitwa mtu aliyefanikiwa ikiwa watu waliokuzunguka, ndugu, jamaa, marafiki na jamii kwa ujumla wanaishi katika mazingira magumu.

MAISHA YA MJANE NA YATIMA WA KIJIJINI




Hivyo pamoja na mkakati wa John Shabani wa kujitolea kuwatembelea waatu wanaoishi katika mazingira magumu na kutafuta namna ya kuwasaidia, mwanaharakati wa kujtolea wa haki za binadumu John Shabani; safari hii ameungana na mwanamama mwenye uchungu wa kutetea haki za mjane Bi Rose Sarwatt na kuanzisha chama cha wajane Tanzania.


 Chama cha Wajane Tanzania (Tanzania Widows Association) chenye usajili na S.A. 19708, ni chama kilichoanzishwa rasmi mnamo mwaka 2014, kikiwa na lengo la kuwaweka wajane pamoja, ili kutambuana, kufahamiana, kujua changamoto mbalimbali anazopitia mjane, na kutafuta ufumbuzi wa kutatua changamoto hizo.  Ikiwemo kusomesha watoto, elimu ya sheria, afya, saikologia, biashara na ujasiriamali.   

Vilevile chama kinajihusisha na kutoa elimu kwa jamii juu ya mjane, iwatambue wajane, kuwapenda, kuwathamini na kuwasaidia kwa namna moja ama nyingine, pia kujitoa kwa hali na mali kusaidia kupambana na changamoto anazopitia mjane.  Pia chama kinasimamia sheria inayotetea haki za mjane Tanzania, ikiwemo hati ya mirathi na usimamizi wa mali za familia baada ya kifo cha mume wa mjane.  Hivyo chama hiki kitarejesha matumaini mapya kwa mjane, na wajane watarajiwa.  Pia kwa namna moja au nyingine, kujihusiha na haki za mgane na watoto walioachwa na wazazi (yatima).


Pamoja na kujitahidi  kwa uwezo mdogo tulionao, tumeweza kuzunguka mikoa kadhaa ya ya Tanzania na hasa vijijini na kujifunza hali halisi ya wajane na watoto yatima.Tumegundua asilimia kubwa ya Wajane ni wale wenye kipato cha chini sana na wengine wanaishi kwa kutegemea misaada ya kuwasaidia kujikimu kimaisha. Misaada hiyo ni kama chakula, mavazi, kodi za nyumba ukiachilia mbali ada za watoto.
Wana TAWIA baada ya kuhudhuria semina zinazoendelea katika ukumbi wa TGNP, mada ikiwa ni pamoja na kuingalia sheria inayopendekezwa ikiwa inavifungu vinavyomsaidia mjane na mwanamke kwa ujumla


 Hakika wajane wanahitaji kuwezeshwa kwa hali na mali ili waingie katika hatua ya kujishughulisha au uzalishaji.

Wanachohitaji  wajane ni  imparting skills and education na baada ya hapo ni kuwezeshwa sasa ili kwaanzishe uzalishaji/biashara ndogondogo za mtu mmoja binafsi au vikundi
Mkurugenzi wa kituo cha msaa wa sheria na haki za binadamu, Bi Heleje Kijo Bisimba, akiwa mgeni rasmi katika moja ya makongamano ya chama cha wajane




Kwa hapa kwetu tumegundua biashara muhimu ni kama zile za utengenezaji juice, masuala ya lishe au usindikaji wa chakula, kilimo kama cha, miogo, viazi vitamu ambayo huchukua miezi mitatu hadi mine, tayari kwa matumizi na pia huhitajika kwa mahitai ya kila siku. Pia kilimo cha mboga mboga kama matembele na mchicha ambavyo huchukua wiki mbili au tatu. Lakini pia kilimo kama cha mahindi na mchele kwa kilimo cha kumwagilizia ambavyo huchukua miezi 4 hadi tano. Pia wajane wakizipata mashine za kusindika vifaranga vya kuku pamoja na mayai ambayo huchukua muda wa wiki mbili na mashine zake ni  rahisi kuzipata hapa hapa nchini kwenye viwanda vya SIDO (Small Industries Development Organization), mafunzo mengine ni ya ushonaji na kudarizi ambayo tayari tunaye mjane mwenye uwezo mkubwa wa kutengeneza nguo za maofisini, taasisi na za kawaida pamoa na mashuka  na vitambaa vya kudarizi vya kiafrika.

Mahitaji mengine au mafunzo mengine ni masuala ya Agriculture, Livestock Farming, Fish Farming, basic Computer courses, ufugaji, ushonaji na mapishi na mengine utakayoona yanafaa kulingana na uzoefu wako.


Upande wa afya ambayo ni jambo la msingi kwa maisha ya binadamu, tumekuwa na mawasiliano na taasisi ya MEDA TANZANIA pamoja na BETTER LIFE HEALTH SERVICES ili kuhakikisha wajane wanakua na afya bora.


Upande wa sheria tunawashukuru TAWLA kwa kujitolea kutoa mafunzo ya msaada wa sheria (Para Legal) kwa kikosi cha watu 24 kutoka TAWIA, mafunzo hayo ni ya miezi sita, na baadaye kikosi hicho kitasaidia masuala mbalimbali ya kisheria kwa wajane na jamii kwa ujumla. Mafunzo yaliyopewa kipaumbele ni ya sheria ya ardhi, sheria ya ndoa, talaka au kuachana, sheria ya watoto n.k.

Tuna karibisha wadau mbalimbali wenye moyo wa kuwasaidia wajane na watoto yatima, tushirikiane kwa hali na mali kurejesha matumaini ya maje. Kumbuka kwambawajane ni moja ya kundi la watu ambao Mungu anawaheshimu sana. 

Tunakaribisha mchango wako wa hali na mali ili kuwasaidia wajane Tanzania.

Mawasiliano

CHAMA CHA WAJANE TANZANIA
“Tanzania Widows Association”

P.O.Box 33476,
Dar es salaam
Simu: +255 754 366 530 – Mwenyekiti
  +255 713 778 778 – Katibu
E-mail: widowstz@gmail.com
FACEBOOK: Widows Tanzania
  TWITTER: @TanzaniaWidows
 

31 May 2015

Dr. Lucy Natasha in Uk



 
After winning thousands Souls for Jesus in Dar es salaam/Tanzania (Highlights of Tanzania Crusade.), now it’s time for United Kingdom! Miracles and wonders are getting place. God bless u Dr. Natasha


Highlights of Tanzania Crusade



 Rv. Natasha, you are a true Servant of the Most High! I love and honor the anointing you are holding my Prophetess. The greatest gift the heaven has given is winning souls am proud of great work keep up. I pray that God will continue using you for His glory.

Rev Lucy Natasha is the Visionary/ Founder of Prophetic Latter Glory Ministries International. She is Touching Nations with the Gospel.

For more, visit:   

www.lucynatasha.org, Facebook: Rev Lucy Natasha



24 May 2015

The South African Church Where Pastor Strip Members Naked & Marches On Them During Church Service




                         This pastor of a church named End times disciples ministries in Gauteng, South Africa made his members strip and then he marched on them during an evening Live Service ‘End Times Disciples Ministries’ is a South Africa based church where the pastor in charge who is known as Prophet Penuel always remove clothes from members of his congregation and sit on them during church service.


The South Africa-based church with over 95% of female members often conduct weekly deliverance services where Penuel forces women, mostly teenagers to strip themselves naked during deliverance session.




The founder of the church located in Gauteng, South Africa is sometimes seen stepping and jumping on church members to cast out the ‘evil spirits’ in them.
I bet most of you have already heard of this controversial Pastor in South Africa.
 He was the same Pastor who instructed his church members to eat grass one certain period, months after he ordered them to drink engine oil. He has emerged again with this new idea of stripping his church members naked.




                              It's a normal procedure for Prophet Penuel of End Times Disciples Ministries in South Africa, to strip the church members naked, sit on them before he prays for them.

IBADA ZA WATU KUVUA NGUO ILI WAPOKEE UPAKO



 Kiongozi wa huduma ijulikanayo kwa jina la End tmes Disciples Ministries ya huko South amekuwa akiwaambia washirika wake wawe wanavua nguo zote ili waweze kupata fresh anointing.

Jambo la kujiuliza mbona yeye havui?na hii fresh anointing kwanini asilimia kubwa wawe wanawake tu?


 Mchungaji huyo ajulikanaye kwa jina la Mtume Penuel, huwavua nguo waumini wake na kuwakalia. Kanisa hilo ambalo asilimia 95 ya waumini wake ni wanawake wengi wakiwa ni vijana, mara nyingi hulazimika kuvua nguo zao wakati wa ibada ya kufunguliwa kutokana na vifungo mbalimbali vya ibilisi.


Nadhani unamfahamu Mchungaji huyo, ambaye siku za karibuni aliwalazimisha waumini wake kula majani.

Asomaye na afahamu!

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP