THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

3 February 2015

HATIMAYE CHINI YA USIMAMIZI WA MWL. JOHN SHABANI WATOTO WA SHALOM ORPHANAGE WAREKODI ALBAM YAO YA KWANZA

Mwl. John Shabani akitoa darasa 
kwa watoto wa Shalom Orphanage




Nilitembelea kituo cha Shalom Orphanage Centre mwaka 2014, hakika nilijifunza mambo mengi, huku nikijaribu kuona tofauti iliopo kati ya vituo mbalimbali vya watoto yatima nilivyowahi kuvitembelea Tanzania na nje ya mipaka yetu.

Mlezi wa kituo hicho Mama Warra Nnko, kwanza ni Mjane, pili baada ya kuguswa na haili ya maisha ya watoto yatima, aliamua kusahau hali yake ya ujane na kujiona kuwa anayo nafasi kubwa ya kufanya lolote awezalo ili kuyakomboa maisha ya mtoto yatima Tanzania. Ndipo Mama huyo alipoamua kutoka katika Jiji la Arusha, huku akiacha makazi yake mazuri na kujielekeza huko karatu, ni takriba kilomita 160 kutoka Jiji la Arusha. Tangu mwaka 2004 Mama huyo akilea watoto yatima katikamakazi aliyofanikiwa kuyapata huko karatu. Ukifika Shalom Orphanage Centre hakika huwezi kuyazuia machozi yako, hasa bale unapoona zaidi ya watoto 60, wengine wachanga, wengine wenye ulemavu, wengine walioathirika na ukimwi, wote hao humwita Mama warra jina moja tu (Mama)
Ikumbukwe, jirani na wilaya ya karatu ndiko kunakoongoza kwa vivutio vya utalii Tanzanzania, hivyo, kwasababu ya habari zilizoeneo kote duniani kuhusu kituo hicho, watalii na wasamaria wengi wanaotembelea Ngorongoro, Serengeti, n.k, mara nyingi pia hukitembelea kituo hicho. 

Niliposikia habari za kituo hicho, nikiwa mwana harakati wa haki za Binadamu, nilifunga safari na kutembelea shalom Orphanage, nikajisikia kunzisha program ya kuibua vipaji hasa vya uimbaji. Kwa kuanzia, tayari mapema mwaka huu wa 2015, tumerekodi Albam ya kwanza na maandalizi ya mkanda wa video yanaendelea. Naamini kwa kupitia ujumbe uliomo ndani ya nyimbo hizi utagusa mioyo ya watu wengi ndani na nje ya nchi. Lakini pia mkanda wa video utakiunganisha kituo na dunia, kwani nyimbo hizo zitatafsiriwa kwa lugha ya kingereza. Pia nyimbo hizi zitawaingizia kipato.
Baadhi ya nyimbo zilizomo katika Albam hiyo ni: Mtoto wa mwenzio ni wako, Sitaitwa Yatima tena, Nani kama Mama, Baba wa Yatima na Tanzania.

Endelea kuombea kituo hicho, na pia unaweza ukatoa
mchango wako wa hali na mali ili kuwabariki watoto hao.




2 January 2015

JOHN SHABANI NA ZIARA YA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII WA TANZANIA PAMOJA NA KUIBUA VIPAJI VYA WATOTO

 Nikiwa na watalii mbalimbali karibu na mto wa ajabu, baada ya kuzunguka kutwa nzima eneo la Ngorongoro Crater, watalii huja mahali hapa penye idadikubwa ya viboko.
 Imekuwa ni ziara ya kipekee kati ya ziara nilizowahi kuzifanya. Kwani nimejionea moja ya maajabu ya dunia, Ngorongoro Crater. Pia nimeweza kuibua vipaji vya watoto pamoja na kurekodi nyimbo kadhaa.
Ngorongoro ("Ngorongoro Conservation Area") ni umbali wa takribani kilomita 180 kutoka Arusha na pia hifadhi ya taifa inayojulikana kote duniani. Eneo hili ni sehemu ya Serengeti.
Kuna jumla la wanyamapori wakubwa takriban 25,000, wakiwa pamoja na vifaru, viboko, nyumbu, pundamilia, nyati, simba, fisi na chui .
Ngorongoro imepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.


Je unajua kitu kuhusu Ngorongoro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
NI mahali pekee panapohifadhi wanyamapori na binadamu, mchanga unaohama, palipogunduliwa nyayo za miguu na fuvu la binadamu wa kwanza.
Pia, kuna Ziwa Magadi ndani ya bonde refu na kubwa maarufu kwa jina la ‘Ngorongoro Crater’ lililosababishwa na milipuko ya volcano zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
Mahali hapo si pengine popote, ni Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (Ngorongoro Conservation Area Authority – NCAA) iliyoanzishwa mwaka 1959 na kukabidhiwa majukumu makuu yafuatayo:
Kuhifadhi maliasili (wanyamapori, ndege na mazingira) zilizopo, kuendeleza binadamu wenyeji (Wamaasai) na utalii katika hifadhi hiyo.
Ina eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 8,292, inapakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) upande wa Kaskazini Magharibi na miji ya Arusha, Moshi na Mlima Kilimanjaro upande wa Mashariki. Maelfu ya watalii kila mwaka kutoka pembe nne za dunia hutembelea Ngorongoro.





 Nikiwa na watoto wa Shalom Orphanage center baada ya kukaribishwa kula chakula                  katika hotel ya Sarena

 John Shabani, watoto wa Shalom na rafiki zetu wengine
Nikiwa na kundi kubwa la watoto baada yakupata chakula katika hotel ya Serena

1 December 2014

NI MSIBA TENA KWA JOYOUS CELEBRATION



Mwimbaji Marehemu Lihle Mbanjwa akiimba kwa hisia katika ya matukio ya uimbaji ya kundi hilo mwaka jana

It is with sadness that we announce the passing of one of our own, dear sister and friend, Lihle Mbanjwa.She passed away in an car accident in the early hours of the 30th November 2014.
Our drummer Sabu Satsha was travelling in the same car suffered head injuries and is critical but stable in Hospital. A relative of Lihle who was also in the car is also admitted at a hospital and he is in a stable condition.
We appreciate your continued support over the years.We are counting on your prayers and support during this difficult time for us and their families.
God bless you.

26 November 2014

WAJANE WAANZA KUNUFAIKA NA CHAMA CHAO



 Wajane wakiwa wametulia nje ya ofisi za chama, huku wakimsikila mwenyekiti
 Mwenyekiti akisaidia kubeba viti
 Wajane wakigonganisha vinywaji vyao na mwenyekiti kwa kutakiana afya njema



Ni mkutano mwingine wa wajane, wakijadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja 
na kuimarisha umoja huo.
Akionekana mwenye uso wa furaha, mwenyekiti wa chama hicho ambaye kabla ya kikao kuanza alijitolea kubeba viti na kuvipanga, amewapongeza wajane kwa kuendelea kujitokeza kwa wingi kujiunga na chama. Pia kwa juhudi zake mbalimbali, zipo shule  pamoja na wafadhili mbalimbali wamekubali kuwasomesha watoto wa wajane. Wito wa Mwenyekiti ni kuziomba shule mbalimbli kukukubali kuwasomesha watoto wa wajane.
Katika mkutano huo uliofanyika nje ya ofisi za Chama cha Wajane Tanzania , maeneo ya kinyerezi Dar es salaam, wajane pia wamenufaika na misaada kutoka kwa wadhili mbalimbali ikiwa ni pamoja na mavazi, chakula, sukari, mchele pamoja na sabuni.
Mkakati mkubwa sasa ni kuhakikisha kila mjane anasaidiwa kupata mtaji ili kuwa na shughuli binafsi ya kumwingizia kipato, ili kujikimu kimaisha. Maana lengo kuu la chama ni 
kurejesha matumaini ya wajane.
Wito ni kwa wajane wote Tanzania kujitokeza kujiunga na chama hicho kilichosajiliwa kihalali. Pia mlango uko wazi kwa wafadhili wa ndani na nje, taasisi mbalimbali, matajiri na wakereketwa kujitokeza kusimama na wajane na kuwasaidia kwa hali na mali.
Mkakati sasa ni kukieneza chama nchi nzima.

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP