16 February 2012

JOHN SHABANI NDANI YA ATN SIKUU YA WAPENDANAO





Hivi ndivyo ilivyokuwa sikukuu ya wapendanao (Valentine day) ndani ya ukumbi wa ATN (Agape Television Network) mbezi jogoo tarehe 14/02/2012.

Tofauti na watu wengine wanavyoichukulia siku hiyo kinyume na maana ya siku yenyewe, lakini uongozi na wapenzi wa ATN walijumuika pamoja wakibarikiwa na uimbaji kutoka kwawaimbaji mbalimbali pamoja na Mtumishi wa Mungu John Shabani na kundi lake na baadaye Neno la Mungu kutoka kwa Watumishi wa Atn. Masuala ya msosi hapo usiseme.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP