THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

28 June 2019

MORE ABOUT JOHN SHABANI

JOHN SHABANI BIOGRAPHY 
John Shabani Graduate at (INTERNATIONAL SCHOOL OF MINISTRY - ISOM and CHRISTIAN LEADERSHIP UNIVERSITY - USA) is a Tanzanian Gospel singer, song writer, Book writter, Evangelist, Vocal trainer of Christian worship music & Volunteer in helping disadvantages and people in needy. Also he's a paralegal.

He is very passionate about his community. He is a man of great faith and vision to supporting her community through different programs that help pray, support, and advice women, children, men and even needy people as well. As a volunteer,he always offer moral support to the underprivileged (orphans and all kind of people in needy). He want them to feel like worthy human beings, because they are sometimes deprived and marginalized of their basic needs and rights. They are most often isolated and neglected right from the family level. They die early, not because of sickness but just because of living in a state of hopelessness. On top of that, he has been visiting, assisting, encourage and helping refugees in their camps whenever resources allow .
 TAWIA LEADERS INCLUDING ROSE SARWATT (CHAIRPERSON), JOHN SHABANI (GENERAL SECRETARY), Meeting with Dr Amir Lakha from UK. Dr. Lakha is a Founder and Chairman of HUMANITARIAN AND CHARITABLE ONE TRUST (HACOT)




 John has been in the gospel singing ministry for a long time; currently. Besides, He’s a cofounder of the Tanzania Gospel Music Association (CHAMUITA in Swahili) and has been leading different gospel music groups here in Tanzania. 
John shabani was born in Kigoma Tanzania. He was born in a Muslim family, just after receiving Jesus Christ as his personal savior; he has been totally segregated by his family, which caused almost his whole life to be in the hands of spiritual parents and some of the maternal relatives who were already saved. 
For a long time has been conducting different praise and worship sessions, and vocal training programs in various churches both locally and even in some of the Eastern & Central African Countries. He serve as a one of church leader and also praise and worship leader with the community of the Assemblies of God based at Dar es salaam Tanzania. His aim is to spread the Good News of Jesus Christ. 
By the grace of the Lord. He has got a chance to attend ISOM program and received his diploma, then at CHRISTIAN LEADERSHIP UNIVERSITY where he received his first bachelor degree in Christian Leadeship and Biblical studies. He believe this training is going to help him to achieve his dreams and vision of creating and effectively leading a center for teachings encouraging people and worship God. 
One of my tour in KAKUMA Refugee camp 
(one of biggest refugee camp in Africa) and Turkana area in Kenya

 (visiting Adzabe people and Barbaig)

 John shabani with a group of orphans children
John with the mission of helping people in needy. 
Donated food and other items to the mang'ati tribe 
 John Shabani, I'm very proud to meet with this beautiful people 
(barbaig or mang'ati tribe) at manyara...






John shabani with Turkana orphans children
I would be honored to be part of this cost i live for two reasons God and man. Really glad that we can see HOPE and reach out to the hopeless. We are no longer dependent on the government but asking ourselves “What we can do to help our people in needy. God bless whoever came up with this brilliant idea and I hope my little help would put a smile on @least 2 children.
He went through Tanzanian education system, where he schooled at Kigoma for both primary and secondary schools. Then got married in Dar es Salaam to Debora Shabani who was also a gospel singer but after 6 years of marriage, her wife passed away (died) 
John got a chance to study a little bit, also he learned the subject of music somehow. He worked with various places such as Estate agency which deals with sales and rent of house and land, Promotions company, publicity secretary at Tanzania Gospel Music Association, secretary at GINCO (Gion Need Comfort Organization), and also one of the founders and secretary at TAWIA (Tanzania Widows Association) etc. 
Now days, John has a vocal and music training centre and also got his own vocal studio (SJ STUDIO)in Dar es salaam.

24 June 2019

SJ STUDIO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATOTO WENYE VIPAJI VYA KUIMBA

  
What do you think, which currency is the most expensive in the world today?
Most believe that the British pound is the highest currency; however, as it turned out it is not. Especially, for blog readers, we compiled the list of the strongest world currencies (Dated 13 Jan 2019).
By the way, we also have the TOP 10 of the weakest world currencies.


No. 1 – Kuwaiti Dinar (1 KWD = 3.29 USD)

Currency code – KWD
1 KWD = 3.29 USD
The Kuwaiti Dinar is the world’s highest-valued currency against the US Dollar.
Kuwait is a small country with enormous wealth. The high value (rate) of its currency is explained by significant oil exports into the global market.

No. 2 – Bahraini Dinar (2.65 USD)

Currency code – BHD
1 BHD = 2.65 USD (pegged to dollar)
The Bahrain Dinar is the second most valuable currency.
Bahrain is a Persian Gulf island state with a population of just over 1 million people. As in the first case, this country’s largest source of income are the «black gold» exports.
It is interesting that the Bahrain Dinar is pegged to US Dollar exchange rate, and its rate against the US Dollar has remained stable since 2005 already.

No. 3 – Oman Rial (2.60 USD)

Currency code – OMR
1 OMR = 2.60 USD (pegged to dollar)
Oman is a country on the Arabian Peninsula. Thanks to its strategic location, it possesses a developed economy and a high quality of life.
The Oman Rial is also pegged to US Dollar as Bahrain Dinar.
It is remarkable that purchasing power of this currency is so high that the government had to issue 1/4 and 1/2 Rial banknotes. On the picture above, you can see 1/2 Rial (Half Rial).

No. 4 – Jordan Dinar (1.41 USD)


Currency code – JOD
1 JOD = 1.41 USD (pegged to dollar)
It is hard to explain the high value of Jordan Dinar. This country is not economically developed and it lacks essential resources, such as oil.
Nevertheless, one Jordan Dinar costs 1.41 US Dollar, what makes it one of 10 the strongest world currencies.

No. 5 – British Pound Sterling (1.26 USD)

Currency code – GBP
1 GBP = 1.26 USD
Most people think that British Pound is the strongest world currency, but it only closes the top five of this list.
British Colonies issue their own banknotes, which visually differ from banknotes issued by the Bank of England, but they are valued as 1 per 1.
Therefore, there are several of them: Scottish, North Ireland, Manx, Jersey, Guernsey, Gibraltar Pounds, as well as St. Elena Island Pound and Falkland Islands Pound.
Amusingly, native Britons do not always want to accept «other» Pounds as a means of payment.

No. 6 – Cayman Islands Dollar (1.20 USD)

Currency code – KYD
1 KYD = 1.20 USD (pegged to dollar)
Cayman Islands is one of the world’s best tax havens. These islands provided licences for hundreds of banks, hedge funds and insurance companies.
Thanks to its leadership among tax havens, Cayman Islands Dollar costs near 1.22 US Dollar.

No. 7 – European Euro (1.14 USD)

Currency Code – EUR
1 EUR = 1.14 USD
The euro currency has strengthened over the past few years. This allowed it to raise the list of the most powerful currencies. Partially, its strength is explained by the fact that it is the official world currency in European countries among which you will find several economically developed countries.
Besides, Euro is the second reserve world currency enveloping 22.2% of all world savings (US Dollar has 62.3%).

No. 8 – Swiss Franc (1.04 USD)


Currency code – CHF
1 CHF = 1.04 USD
Switzerland is not only one of the richest countries in the world, but it is also one of the most stable. Its banking system had long been known for its formerly resolute «Bank Secrecy».
Besides, its high-tech goods are very well known all around the globe.
Pay attention when you see an original of this banknote. This is the only banknote I saw which has the vertical view.

No. 9 – US Dollar

Currency code – USD
1 USD = 1.00 USD
Owing to USA world economic leadership, its currency achieved such a title as «World Reserve Currency». In other words, you can make dollar payments everywhere (in any country).



























No. 10 – Canadian dollar (0.75 USD)

Out of TEN
Due to the dynamically changing economic and political situation in the world, it is hard for some currencies to remain in this ranking, so here is the list of currencies that left the top ten of previous periods.
Australian dollar

Currency code – AUD
1 AUD = 0.73 USD
An interesting fact is that the new series of Australia banknotes, as pictured above, would have a tactile feature (Braille) to help the visually impaired community to tell the value of the banknote.
Also in Australia, the fight against cash is conducted by reducing the share of cash payments when making small retail purchases.

Libyan Dinar

Currency code – LYD
1 LYD = 0.72 USD
The Libyan Dinar has token money called Dirham. It is interesting that one Dinar is equal to 1,000 Dirham, and not 100, as we all used to think.

Azerbaijani manat

Currency code – AZN
1 AZN = 0.59 USD
It was a surprise to see Azerbaijani manat in this list. However, the currency of this Central Asian country is a little bit weaker than US Dollar.

The economy of this country is surprisingly strong, and its unemployment rate is low.

22 June 2019

NAMNA YA KULINDA, KUTUNZA NA KUIPONYA SAUTI YAKO

Kila mtu anaweza kuitumia sauti yake, lakini si kila mtu anajua jinsi ya kuitunza au kuiponya inapopatwa na tatizo. afya yake, au nini cha kufanya. Makala hii itasaidia kila mtu kujifunza jinsi ya kuponya sauti  na pia kutoa ushauri wa jinsi ya kuitunza na kuifanya kuwa na afya na nguvu kwa ajili ya siku zijazo. Masomo haya yanawafaa walimu, wainjilisti, wanasiasa, wazazi, wanasheria, madaktari, na waimbaji, na kila mtu ambaye shughuli zake hulazimu kakuongea sana.

Yawezekana umekuwa ukijiuliza,tunapozungumzia dhana nzima ya kukauka au kupotea kwa sauti, hivi huwa ina enda wapi? Sijui kama ume wahi jiuliza swali hili mpenzi msomaji, leo na kuendelea utapata majibu mengi ya maswali yako kupitia mtiririko wa vipindi hivi ndio maana pia tume lazimika tumia kiswahili ili kuwafikia watu wengi zaidi.MWANADAMU anasehemu laini sana kama ute wa viji ngozi viwili ndani ya boksi la sauti kooni(voice box/larynx)vinavyo itwa vocal cords au vocal folds, kwa lugha ya kigeni. hapa ndipo maala muhimu ni sisitize tena muhimu mno maana ndipo naweza sema ni kama kiwanda cha sauti. Mitetemo ya sauti ni matokeo ya kani msukumo wa hewa itokayo mapafuni kupitia kwenye kijisanduku cha sauti(voice box/larynx)mtetemo wa hivyo vijinyama viwili(vocal cords) ndani ya kijisanduku cha sauti(voice box) ndipo hupelekea huo mlindimo wa sauti uisikiayo. Hakika Mungu wa ajabu. Sasa Sikila unacho kula hugusa au kufikia mahala hapa itokapo sauti, isipo kuwa vinavyofika mahala hapa ni vile vitu unavyo weza vuta mfano: mvuke na moshi kama vile moshi wa sigara ambao ni hatari sana. Sasa nikujibu sauti hupotelea wapi/hukauka kweli??. Kiukweli sauti haikauki ila inakoma kuzalishwa kwa muda, hii nipale ambapo Vijinyama laini hivyo viwili(vocal cords) vinapo vimba hali hii hufanya vishindwe tetemeka na kutoa sauti, hapo watu husema sauti ime potea au ime kauka. SASA NI NINI hupelekea uvimbe huu? Yafuatayo ni majibu: Uvutaji wa sigara, matumizi ya juu mno ya sauti kama kupayuka na kupiga yowe, kikohozi cha mara kwa mara na pia maambukizi katika koo la sauti, mfano virus wa mafua (flu viruses).

Niruhusu nikupe darasa kidogo kuhusu sauti;
Nidhahiri umewahi sikia au kuona mwalimu akiwaambia kwa ukali waimbaji mwanzo kabisa mwa zoezi kuwa;"jamani mbona leo siwaelewi namna mnavyo imba/TOENI Sauti/Mnaimba kama hamtaki/Naomba kwanza wote msimame n.k... Niliwahi kufundisha  juu ya tabia ya sehemu ya ndani ya kijisanduku cha sauti(VOICE BOX/LARYXN):
 NDANI ya kiji sanduku hiki kuna kijisehemu laini sana kiitwacho (VOCAL FORD/VOCAL CORD). Sehemu hii ina tabia ya kusinyaa na kubadilika hali yake kutokana na mazingira au hali ya hewa, mfano, ubadilipo mazingira yenye joto au baridi huchukua muda kujishape na yale mazingira, kadharika ukiwa unaongea hutenda tofauti kabisa na pale uimbapo. Lakini pia mazingira ya mfumo wa maisha ya kila siku; malazi, makazi, vyakula, vinywaji, msongo wa mawazo, matumizi ya sauti, kupumzika n.k.

Kama walivyo wanariadha na wacheza soka kabla hawajaingia ulingoni lazima wawe na maandalizi ya mazoezi ili kuweka misuli yao sawa. Hivyohivyo misuli yetu ya koo vocal fold), lazima uiwarm up kabla hujaitumia.   HIVYO si sahihi kuingia kwenye uimbaji moja kwa moja pasi kuandaa koo kwa mazoezi andalio (VOCAL WARM UP). Hapa naomba unielewe mpendwa hapa namaanisha vocal warm up na si VOCAL EXERCISES), tutajifunza tofauti ya haya mambo mawili taratibu. Kuna kipindi serikali ili tangaza kwamba kansa inayoongoza nchini ni kansa ya kizazi na kansa ya koo. Sasa huyu mwimbaji au muhubiri hanywi maji vizuri at least glass nane kwa siku (maana hatunywi maji kwasababu tuna kiu, tunakunywa kwasababu makoo yetu yanatakiwa kuwa na unyevunyevu kila wakati), ni mtumiaji mzuri wa vitu vya baridi kisa ana friji (jamani friji haipo kwa ajili ya kutumaliza, eti friji yangu inagandisha kweli! Kiasi kwamba umekubali ikugandishe nawewe haaah! Hatutakiwi kula barafu, friji inakusaidia kutunza kitu, unapokihitaji, utoa, kinapoa kisha unatumia. Wewe mwimbaji, muhubiri, umeshinda kutwa nzima ukiitumia sauti, maji hujanywa, huna maandalizi ya misuli ya koo then jioni unaagiza maji ya baridi sana, au soda (kemikali), unachotafuta hapo ni majanga kwenye koo. 

Au unaagiza majuice yenye kemikai au energy drink eti upate nguvu, ukifahamu fika kinywaji hicho kina cafein, unadiriki kuingiza cafein kujerui koo, hatari saaaana! Jambo linguine microphone inayotumika imekaa miaka miwili, haijasafishwa, imetumika na kila kiumbe na wengine midomo yao utadhani ina kisima cha mate tena yenye madhara, alafu hiyo mic inakutu, alafu mtu anaitumia tu, mwisho wa siku jamani tumwmbee mwimbaji wetu, mchungaji wetu kuna pepo limevamia sauti yake halitaki watu wapone, waokolewe, hapana pepo ni yeye mwenyewe. Ni kukosa maarifa, na ukikosa maarifa lazima uangamie.

SASA ili uweze imba kwa uhuru na sauti bora yenye ujazo ni lazima mishipa ya koo lako iwe huru kwa msawazo(RELAXATION). Moja ya mishipa inayoweza mpelekea muimbaji kuimba/kuto imba kwa muda mrefu ni mishipa ya kichwa iliyopo nyuma ya shingo karibu na kisogo, ndio maana usikia watu kulalamika naumivu ya kichwa(STRAINING IN BACK MUSCLES) baada ya kuimba kwa muda mrefu.Waweza jaribu hapo ulipo kufungua kinywa chako mpaka mwisho wako kisha ona ni wapi mishipa ya kichwa, vuta utagundua ni nyuma ya shingo. ZOEZI HILI LA KITAALAMU BAADA YA TAFITI ZA KISAYANSI ndio suruhisho la matatizo hayo mawili (Tone~vocal fatigue na Straining in back muscles).
Hapa unaosha mikono kwa sabuni(ant bacterial soap)kwa maji safi kisha jikaushe kwa taulo safi.
*Ukiwa ume kaa au simama wima weka vidole vitatu kwa kinywa kisha imba herefi hizi; "A E I O U"kwa sekunde15- 35-60,.Baada ya hapo toa vidole kwa mdomo na jaribu ongea au kuimba utaona pumzi na wepesi/uzuri wa sauti. #ZOEZI MBADALA NI HILI
*Pasi vidole fungua kinywa kadri uwezavyo na imba kwa ulimi maneno haya LAGA LAGA LAGA LAGA LAA LAA×2,Kwa sekunde 15-45-60Bila kuruhusu taya na kidevu kucheza.mazoezi hayo yote hufanya kazi moja.


Vifuatavyo ni vitu muhimu kwa ajili ya afya ya sauti yako
Kuna vitu vitatu cha kwanza KUNYWA MAJI, cha pili KUNYWA MAJI na cha
tatu KUNYWA MAJI. Maji ni muhimu sana kwa sauti yako. Hakikisha
unakunywa maji ya kutosha.
Pumua kama muimbaji wakati wote hata ukiwa unazungumza na simu.
Hakikisha unakaa katika mkao mzuri kama ilivyoshauri katika sura ya pili.
Unaweza kutumia sauti yako yote pale unapotaka kusikika lakini hakikisha
hupigi mayowe ni hatari kwa sauti yako.
Hakikisha unapata muda wa kutosha wa kulala. Hakikisha una masaa 6 – 8
ya kulala

TANGAWIZI. Hii ni tiba nyingine nzuri ya sauti. Kiukweli huu ni mmea pekee na wa ajabu unao weza rejesha sauti ndani ya masaa machache mno,kuku toa kutoka hali ya kuto ongea kabisa mpaka kuimba kwa kishindo cha ajabu mimi nimeshuhudia hili kama muimbaji na mwalimu wa sauti.TANGAWIZI inatabia ya upasha joto pekee tu ilivyo,hali hii hupelekea hali kama ya muwasho(irritation)inayo pelekea ongezeko la kasi la mzunguko wa damu pale popote igusapo katika mwili.pia Tangawizi ni suruhisho la vimbe kutokana na hiyo sifa tajwa hapo juu.JINSI YA KUANDAA.osha mzizi wa hiyo tangawizi na maji safi bila kumenya(usiondoe ganda) kata vipande nyembamba mno vijae kijiko cha mezani kisha viweke kwenye maji(vikombe viwili vichemkavyo).kwa dakika kumi,ukiwa umefunika chombo unacho chemshia kisha chuja acha ipoe kidogo kwa joto unalo tumiaga kwa chai ya kawaida, usiweke sukari, badala yake waweza tumia kijiko cha asali kuongeza radha na asali ni tiba kubwa pia,hapo waweza tumia.ni vyema utumie unapoenda lala.Ifikapo asubuhi uta shuhudia haya maajabu ya mmea huu. Katika mafunzo haya ASALI ni somo lingine tutakalo jifunza pia.

         Kama sauti yako  imejeruhiwa vibaya, basi jambo muhimu zaidi la kufanya sasa hivi ni kuacha kutumia hiyo Sauti,  ipumzishe. Punguza pia kuzungumza kwa muda mrefu na hasa kwa kupaza sauti kubwa au kupayuka na kutumia muda kidogo zaidi katika ukimya. 

  • Jambo jingine kubwa ambayo husaidia sauti iliyojeruhiwa ni chai ya moto (Kama vile coat tea). Au maji moto ukichanganya na asali na limau. Unaweza kupata pia  dawa za mitishamba zilizohifadhiwa kitaalam katika maduka ya dawa, lakini ikiwa dini yako au tamaduni yako haina shida katika hili. Chai nzuri ni ile iliyo shauriwa ki afya na si kila chai ni bora. Unaweza kupata na dawa za mitishamba katika duka la dawa,  ambazo ni maalumu kwa ajili ya sauti, Kunywa angalau kikombe asubuhi na kikombe wakati wa usiku. 

         kama kuna kitu ambacho kinaweza kusaidia kuponya sauti yako na pia inaweza kutumika kulinda kwa haraka  ni unywaji wa maji ya kila siku. Maji husaidia na sauti yako kuwa hidrati, kuwa hidrati husaidia kuweka mwili wako katika afya nzuri na sauti yako tayari kufanya kazi. Pia asali mbichi husaidia. Maji ya mvuke ikiwezekana yachanganye na aina ya vics husaidia pia. Unaweza ukaogea au kujifunika na nguo nzito.

Naomba uzingatie kwamba sauti inataka matunzo. Na jinsi rahisi sana kuhifadhi sauti yako ili ifanye kazi vizuri na idumu kwa muda mrefu ni kama ifuatavyo.
  • Mazoezi ya sauti mara kwa mara kama nilivoelekeza humu.
  • Usinywe vinywaji baridi sana au barafu.
  • Usivute sigara.
  • Usivute bangi.
  • Usitumie madawa ya kulevya.
  • Chunga sana kwenye swala la pombe, aidha usitumie kabisa au tumia kidogo sana.
  • Usiwe na tabia ya kukohowa kwa kasi ili kuondoa kitu kooni. Nadhani mnanielewa. Hii tabia hukwangua koo.

Virutubisho Vya Kutumia
  • Vitamin C 1000mg wakati unahisi mafua au sauti imechoka. Yeyusha tembe moja kila siku ndani ya  glasi ya maji unywe. Zinapatikana pharmacy.
  • Kunywa maji mara kwa mara, yanasaidia kulainisha koo. Mwili wa binaadamu asilimia kubwa ni maji.
  • Tumia Multivitamins 
  • Tumia Antioxidants
Hizi mbili za mwisho zina gharama kidogo, kwahivyo angalia tu uwezo wako. 

3.0 Hitimisho na mapendekezo.
Koo hupendezwa, hutulizwa, huburudishwa, hutengenezwa pia na aina fulani ya pipi, asali, mvuke, chai ya mitishamba (mchaichai), kusafisha koo kwa maji, baadhi ya dawa kwa ushauri wa daktari, unywaji wa maji, na kadhalika. Pia, kinyume chake koo laweza kuharibiwa na matumizi ya vyakula au vinywaji kama vile; pombe, kahawa, soda, maziwa, chokoleti, pipi, ubuyu, matunda jamii ya ndimu, mayai, karanga, mahindi, bisi na kadhalika. Hivyo, muimbaji awe na taadhali katika matumizi ya vyakula na vinywaji ili kufanya sauti yake kuwa bora na kupendeza mbele za watu na Mungu tunayemtukuza kupitia sauti zetu.

Niseme kwamba,  mwanafunzi mzuri ni yule anayetafuta zaidi maarifa mara baada ya kujifunza jambo fulani. Hivyo, ni matumaini yangu kuwa mafunzo haya yatakuwa msingi bora kwa muimbaji kutafuta zaidi kwa habari ya vyakula na vinywaji katika uimbaji. Haya yalioelezwa hapa ni machache sana. Pamoja na hayo, mabadiliko chanya ya uimbaji yatategemea uzingativu na utekelezaji kwa vitendo wa mambo hayo na sio kusikiliza tu. Pia, mabadiliko hasi yatatokea kwa wasiozingatia na kutekeleza kwa vitendo mambo hayo. Yuko mshairi anasema,
“Mshumaa tuliwasha, ili nuru kumulika, Giza kulitokomesha, na nuru kuenezeka,
Mshumaa unawaka, giza mbona linazidi?” Hivyo, huu ni mwanzo wa kujifunza uimbaji; huna budi kuifuata nuru (mafunzo) unayoangaziwa (kupewa) ili ufanikiwe katika uimbaji. Hii ni kwa sababu, wote waliofanikiwa katika aina yoyote ile ya huduma, walianzia chini na kwa kuwa walisikiliza na kutekeleza waliyoelekezwa na viongozi wao wakaweza kupanda na leo hii ni watu wakuu katia huduma.

Ili kuwa na afya nzuri katika mwili na katika uimbaji wako zingatia :
  • Punguza  matumizi mengi ya sukari, ongeza matumizi ya matunda
  • Punguza kula nyama nyekundu, ongeza matumizi ya mbogamboga
  • Punguza matumizi ya soda, ongeza matumizi ya maji
  • Punguza kuendesha, ongeza kutembea kwa miguu
  • Punguza kupoteza muda wa kulala, Zingatia kulala kwa wakati
  • Punguza msongo wa mawazo, ongeza kupumzika

Zingatia :
         Maji ya moto au aina ya chai mitishamba (herbal tea) ni bora, Mwimbaji mzuri hutumia class 8 za maji kwa siku, wapo ambao hutumia hadi lita 4 pia yapo maji ya ziada kutoka katika vyakula.
         Kupasha sauti kwa kukohowa kohowa sio njia ya kukusaidia kuimba vizuri, badala yake hukata sauti
         Pamoja na umuhimu wa maji, lakini acha matumizi ya maji mengi saa moja au mbili kabla ya kuanza uimbaji badala yake asali ni bora zaidi. Lakini pia sauti ikipatwa na tatito unaruhusiwa kupata maji ya moto pamoja na asali

         Angalizo kuhusu mazoezi: Mazoezi huwa yana ugumu wake hasa pale unapokuwa unaanza, usikate tamaa wala usikubali uvivu au maumivu yakakurudisha nyuma. Jitengee muda maalum kwa ajili ya kufanya mazoezi na usianze kwa kufanya mazoezi magumu bali anza na mepesi mepesi ili kuupa mwili nafasi ya ku-adopt mabadiliko

Kwa mafunzo zaidi jiunge na darasa letu pele SJ STUDIO Dar es salaam
Lakini pia unaweza kujiunga na group lets la WhatsApp Kama utakidhi vigezo
kwa mawasiliano zaidi; +255716560094

14 June 2019

FAHAMU MBINU KUU NNE ZA KUMUWEZESHA MUIMBAJI KUIMBA VIZURI (TONE NZURI)KWA MUDA MREFU PASI KUPATA MAUMIVU YA KICHWA AU KUCHOKA MAPEMA.




Tangazo: Ukitaka kujifunza zaidi Tuna kituo cha mafunzo Kimara Dar es salaam pia unaweza kujiunga na group letu la whatsapp kwakututumia jina lako na picha yako kwa namba +255716560094.
Sasa niendelee:

Imekuwa ni vita kubwa katika vikundi mbalimbali vya uimbaji hususani baina ya waalimu na wale wanaofundishwa(wana team/kwaya);hata kupelekea wengine kukimbia/kuacha uimbaji.Kukosekana kwa elimu sahihi ya Sauti,kutia ndani utunzaji mpaka matumizi sahihi ya sauti bila kusahau namna ya kuboresha sauti(tone),imepelekea wengi kuona uimbaji ni kama adhabu au ni kitu cha walio barikiwa wachache tu!!HAPANA!!LEO na kuendelea utakwenda pata maarifa ya juu zaidi katika hili.

LEO TUNA ANZA NA MBINU YA KWANZA;
(1)UFUNGUZI WA KOO NA ULAINISHAJI WA MISHIPA YA SHINGO NA YA NYUMA YA KICHWA(REMEDY FOR VOCAL FATIGUE).
Nidhahili umewahi sikia au kuona mwalimu akiwaambia kwa ukali waimbaji MWANZO kabisa mwa zoezi kuwa;"jamani mbona leo siwaelewi namna mnavyo imba/TOENI Sauti/Mnaimba kama hamtaki/Naomba kwanza wote msimame n.k...
SOMO lililo pita tulijifunza juu ya tabia ya sehemu ya ndani ya kijisanduku cha sauti(VOICE BOX/LARYXN):Waweza rejea katika ukurasa wetu huu.NDANI ya kiji sanduku hiki kuna kijisehemu laini sana kiitwacho (VOCAL FORD/VOCAL CORD).Sehemu hii ina tabia ya kusinyaa na kubadilika hali yake kutokana na mazingira au hali ya hewa,mfano,ubadilipo mazingira yenye joto au baridi huchukua muda kujishape na yale mazingira,kadharika ukiwa unaongea hutenda tofauti kabisa na pale uimbapo.HIVYO si sahihi kuingia kwenye uimbaji moja kwa moja pasi kuandaa koo kwa mazoezi andalio(VOCAL WARM UP)Hapa naomba umielewe mpendwa hapa na maanisha vocal warm up na si VOCAL EXERCISES)tutajifunza tofauti ya haya mambo mawili hapo mbele.
SASA ili uweze imba kwa uhuru na sauti bora yenye ujazo ni lazima mishipa ya koo lako iwe huru kwa msawazo(RELAXATION).Moja ya mishipa inayo weza mpelekea muimbaji kuimba/kuto imba kwa muda mrefu ni mishipa ya kichwa iliyopo nyuma ya shingo karibu na kisogo,ndio maana usikia watu kulalamika naumivu ya kichwa(STRAINING IN BACK MUSCLES) baada ya kuimba kwa muda mrefu.Waweza jaribu hapo ulipo kufungua kinywa chako mpaka mwisho wako kisha ona ni wapi mishipa ya vuta utagundua ni nyuma ya shingo.ZOEZI HILI LA KITAALAMU BAADA YA TAFITI ZA KISAYANSI ndio suruhisho la matatizo hayo mawili (Tone~vocal fatigue na Straining in back muscles).REJEA PICHA
#VIDOLE VITATU(3) KWA MDOMO.
Hapa unaosha mikono kwa sabuni(ant bacterial soap)kwa maji safi kisha jikaushe kwa taulo safi.
*Ukiwa ume kaa au simama wima weka vidole vitatu kwa kinywa kisha imba herefi hizi; "A E I O U"kwa sekunde15- 35-60,.Baada ya hapo toa vidole kwa mdomo na jaribu ongea au kuimba utaona pumzi na wepesi/uzuri wa sauti. #ZOEZI MBADALA NI HILI
*Pasi vidole fungua kinywa kadri uwezavyo na imba kwa ulimi maneno haya LAGA LAGA LAGA LAGA LAA LAA×2,Kwa sekunde 15-45-60Bila kuruhusu taya na kidevu kucheza.mazoezi hayo yote hufanya kazi moja.
(2) NAMNA YA KUBAJETI PUMZI NA KUIMBA KWA MSAADA WA MISULI YA TUMBO.
Mpendwa msomaji bila shaka umekuwa ukisikia juu ya umuhimu wa kuwa na pumzi kwa muimbaji na uwenda umewahi jiuliza huku kuimba kwa msaada wa MISULI YA TUMBO kukoje??na kuna tofauti gani na kule kuimba kwa kifuani.Wengi wametoa majina mengi mno juu ya namna ya uimbaji wengine hata kunyosheana vidole na kusema:sauti hiyo haitokei tumboni niya puani au kooni:FUATANA NAMI JUU YA UKWELI HUU!!.
kiuhalisia kuna aina nne za sauti japo tatu ndio maarufu sana na ndio zinazo fundishwa na wengi duniani kote nazo ni hizi;
(1)SAUTI YA ASILI (CHEST VOICE)
Aina hii ya sauti mitetemo yake hufanyikia kifuani.hutokea mtu akiwa kwenye msawazo (Relaxation)kama mazungumzo ya kawaida.
(2)SAUTI YA KICHWA (FALSETTO/HEAD VOICE).
Imeitwa jina hili kwa sababu hutokea kwa milindimo ya juu/(RESONANCE) na mvutano wa mishipa ndani(eneo) la kichwa.mlio wake ni kama mlio wa king'ora (POLICE ALARM)
(3)SAUTI MCHANGANYIKO (MIXED VOICE).
Sauti hii ni muunganiko wa sauti hizo mbili juu za awali (namba moja na namba mbili).Aina hii ya sauti humsaidia muimbaji kuimba sauti za mitetemo ya juu (HIGH PITCHED VOICE).Bila kutoka nje ya ufunguo(KEY).
(4)SAUTI KOROMEO (PHARYNGEAL VOICE).
Hii ni sauti ambayo mara nyingi huwa haifundishwi;mlio wake ni kama sauti ya kichwa (HEAD VOICE+...)iimbwayo na mtu aliye na mafua.
HIVYO sauti hizo tatu za juu ndio sauti kuu kwa muimbaji yeyote duniani.tutakuja jifunza kwa undani wakati na maeneo sahihi ya kuzitumia.LEO NITA ELEZA juu ya SAUTI ASILI (CHEST VOICE)ambayo kimsingi ina tegemezwa na misuli ya TUMBO.
MUIMBAJI ataweza imba kwa muda mrefu pasi kuchoka haraka,Sauti kukauka na hata kupata maumivu ya kichwa Akijua umuhimu wa kutumia sauti hii Asili naomba niite ya TUMBO japo si jina la kitaalamu.Uimbaji wa namana hii unatumiwa na waimbaji wengi wakubwa wenye mafanikio duniani hususani walio pitia madarasa ya muziki na sauti,ndio maana wanaweza imba LIVE kwa muda mrefu na Sauti zao kuto choka au kukauka.
UKWELI HALISI JUU YA PUMZI KWA MUIMBAJI NA NAMNA YA KUIBAJETI.
*UPUMUAJI sahihi wa mwanadamu ambao ndio unatakiwa utumike kwa muimbaji ni ule tuna uona kwa MTOTO MCHANGA au kwa mtu mzima akiwa na utulivu wa juu (PUMZIKO/AT CONFORT ZONE).Hapa TUMBO hutoka nje pindi avutapo pumzi na kurudi ndani atuapo nje pumzi.Huu ndio upumuaji sahihi anao takiwa pumua muimbaji pindi anapo imba kinyume na hapo tunasema muimbaji huyu hapumui/imba tokea tumboni bali hutoa KIFUANI AU KOONI.Na waimbaji wengi wasio fuata uimbaji huu huchoka mapema na kuto enda mwendo mrefu katika uimbaji na wengine SAUTI zao kupoteza kabisa mvuto.
MAZOEZI YA KUKUZA PUMZI KWA MUIMBAJI
●Mazoezi ni mengi kama kuruka kamba kwa namna ya kufunga na kuachia pumzi kwa njia ya pua tu,KUOGELEA,na KUKIMBIA uwanjani penye mzunguko safi wa hewa.
LEO tuna jifunza ZOEZI moja la kitaalamu duniani ambalo linapendekezwa kiafya kwa muimbaji na lina matokeo ya muda mfupi sana kwa kukuza pumzi na kukaza misuli ya tumbo ya muimbaji na kumuwezesha aimbe (DEEP VOICE)sauti yenye ujazo na mvuto sana.
●ZOEZI; (SHEE SOUND"UNDER BALANCED&RELAXED SHOULDERS).
※HATUA KUFUATA:
Simama wima mabega yakiwa katika hali ya msawazo.VUTA PUMZI ya kutosha hakikisha TUMBO lina toka NJE pindi uvutapo pumzi.
TOA PUMZI kwa mshindo mkuu (HIGH PRESSURE)kupitia mdomo(MENO yakiwa yame umana ya juu nabya chini kutoa mlio "SHIII" huku ukishusha mabega na kuruhusu tumbo kuingia ndani.
HESABU sekunde kwa saa kuanzia SEKUNDE 10~.....Rudia mara kwa mara utaona mabadiliko kwa muda mfupi.Kwaleo ni ishie hapa.SHALOM!!SHALOM!!Uwe na siku njema.

Wako John Shabani:VOCAl Coacher!!.
WASILIANA NASI
SIMU/WHATSAPP :+255716560094
EMAIL; jshabani2011@gmail.com 
"You are blessed"


 SEHEMU YA PILI:
MBINU KUU NNE ZA KUMUWEZESHA MUIMBAJI KUIMBA VIZURI (TONE NZURI) KWA MUDA MREFU PASI KUPATA MAUMIVU YA KICHWA AU KUCHOKA MAPEMA.
..Shalom!!mpendwa msomaji,

Sasa tuna endelea na sehemu ya nyinginei ya somo letu lenye kichwa tajwa hapo juu.Kumbuka tuli ishia kwa kuangalia njia namba moja;UFUNGUZI WA KOO NA ULAINISHAJI WA MISHIPA YA SHINGO NA YA NYUMA YA KICHWA (REMEDY FOR VOCAL FATIGUE).

Leo tuendelee mbele na kuangalia mbinu ya pili.
(2)KUJIFUNZA NAMNA YA KUBAJETI PUMZI NA KUIMBA KWA MSAADA WA MISULI YA TUMBO.
Mpendwa msomaji bila shaka umekuwa ukisikia juu ya umuhimu wa kuwa na pumzi kwa muimbaji na uwenda umewahi jiuliza huku kuimba kwa msaada wa MISULI YA TUMBO kukoje??na kuna tofauti gani na kule kuimba kwa kifuani.Wengi wametoa majina mengi mno juu ya namna ya uimbaji wengine hata kunyosheana vidole na kusema:sauti hiyo haitokei tumboni niya puani au kooni:FUATANA NAMI JUU YA UKWELI HUU!!.
kiuhalisia kuna aina nne za sauti japo tatu ndio maarufu sana na ndio zinazo fundishwa na wengi duniani kwote nazo ni hizi;
(1)SAUTI YA ASILI (CHEST VOICE)
Aina hii ya sauti mitetemo yake hufanyikia kifuani.hutokea mtu akiwa kwenye msawazo (Relaxation)kama mazungumzo ya kawaida.
(2)SAUTI YA KICHWA (FALSETTO/HEAD VOICE).
Imeitwa jina hili kwa sababu hutokea kwa milindimo ya juu/(RESONANCE) na mvutano wa mishipa ndani(eneo) la kichwa.mlio wake ni kama mlio wa king'ora (POLICE ALARM)
(3)SAUTI MCHANGANYIKO (MIXED VOICE).
Sauti hii ni muunganiko wa sauti hizo mbili juu za awali (namba moja na namba mbili).Aina hii ya sauti humsaidia muimbaji kuimba sauti za mitetemo ya juu (HIGH PITCHED VOICE).Bila kutoka nje ya ufunguo(KEY).
(4)SAUTI KOROMEO (PHARYNGEAL VOICE).
Hii ni sauti ambayo mara nyingi huwa haifundishwi;mlio wake ni kama sauti ya kichwa (HEAD VOICE+...)iimbwayo na mtu aliye na mafua.
HIVYO sauti hizo tatu za juu ndio sauti kuu kwa muimbaji yeyote duniani.tutakuja jifunza kwa undani wakati na maeneo sahihi ya kuzitumia.LEO NITA ELEZA juu ya SAUTI ASILI (CHEST VOICE)ambayo kimsingi ina tegemezwa na misuli ya TUMBO.
MUIMBAJI ataweza imba kwa muda mrefu pasi kuchoka haraka,Sauti kukauka na hata kupata maumivu ya kichwa Akijua umuhimu wa kutumia sauti hii Asili naomba niite ya TUMBO japo si jina la kitaalamu.Uimbaji wa namana hii unatumiwa na waimbaji wengi wakubwa wenye mafanikio duniani hususani walio pitia madarasa ya muziki na sauti,ndio maana wanaweza imba LIVE kwa muda mrefu na Sauti zao kuto choka au kukauka.
UKWELI HALISI JUU YA PUMZI KWA MUIMBAJI NA NAMNA YA KUIBAJETI.
*UPUMUAJI sahihi wa mwanadamu ambao ndio unatakiwa utumike kwa muimbaji ni ule tuna uona kwa MTOTO MCHANGA au kwa mtu mzima akiwa na utulivu wa juu (PUMZIKO/AT CONFORT ZONE).Hapa TUMBO hutoka nje pindi avutapo pumzi na kurudi ndani atuapo nje pumzi.Huu ndio upumuaji sahihi anao takiwa pumua muimbaji pindi anapo imba kinyume na hapo tunasema muimbaji huyu hapumui/imba tokea tumboni bali hutoa KIFUANI AU KOONI.Na waimbaji wengi wasio fuata uimbaji huu huchoka mapema na kuto enda mwendo mrefu katika uimbaji na wengine SAUTI zao kupoteza kabisa mvuto.
MAZOEZI YA KUKUZA PUMZI KWA MUIMBAJI
●Mazoezi ni mengi kama kuruka kamba kwa namna ya kufunga na kuachia pumzi kwa njia ya pua tu,KUOGELEA,na KUKIMBIA uwanjani penye mzunguko safi wa hewa.
LEO tuna jifunza ZOEZI moja la kitaalamu duniani ambalo linapendekezwa kiafya kwa muimbaji na lina matokeo ya muda mfupi sana kwa kukuza pumzi na kukaza misuli ya tumbo ya muimbaji na kumuwezesha aimbe (DEEP VOICE)sauti yenye ujazo na mvuto sana.
●ZOEZI; (SHEE SOUND"UNDER BALANCED&RELAXED SHOULDERS).
※HATUA KUFUATA:
Simama wima mabega yakiwa katika hali ya msawazo.VUTA PUMZI ya kutosha hakikisha TUMBO lina toka NJE pindi uvutapo pumzi.
TOA PUMZI kwa mshindo mkuu (HIGH PRESSURE)kupitia mdomo(MENO yakiwa yame umana ya juu nabya chini kutoa mlio "SHIII" huku ukishusha mabega na kuruhusu tumbo kuingia ndani.
HESABU sekunde kwa saa kuanzia SEKUNDE 10~.....Rudia mara kwa mara utaona mabadiliko kwa muda mfupi.Kwaleo ni ishie hapa.

Wako John Shabani:VOCAl Coacher!!.
WASILIANA NASI
SIMU/WHATSAPP :+255716560094
EMAIL; jshabani2011@gmail.com 

"You are blessed"

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP