14 June 2019

FAHAMU MBINU KUU NNE ZA KUMUWEZESHA MUIMBAJI KUIMBA VIZURI (TONE NZURI)KWA MUDA MREFU PASI KUPATA MAUMIVU YA KICHWA AU KUCHOKA MAPEMA.




Tangazo: Ukitaka kujifunza zaidi Tuna kituo cha mafunzo Kimara Dar es salaam pia unaweza kujiunga na group letu la whatsapp kwakututumia jina lako na picha yako kwa namba +255716560094.
Sasa niendelee:

Imekuwa ni vita kubwa katika vikundi mbalimbali vya uimbaji hususani baina ya waalimu na wale wanaofundishwa(wana team/kwaya);hata kupelekea wengine kukimbia/kuacha uimbaji.Kukosekana kwa elimu sahihi ya Sauti,kutia ndani utunzaji mpaka matumizi sahihi ya sauti bila kusahau namna ya kuboresha sauti(tone),imepelekea wengi kuona uimbaji ni kama adhabu au ni kitu cha walio barikiwa wachache tu!!HAPANA!!LEO na kuendelea utakwenda pata maarifa ya juu zaidi katika hili.

LEO TUNA ANZA NA MBINU YA KWANZA;
(1)UFUNGUZI WA KOO NA ULAINISHAJI WA MISHIPA YA SHINGO NA YA NYUMA YA KICHWA(REMEDY FOR VOCAL FATIGUE).
Nidhahili umewahi sikia au kuona mwalimu akiwaambia kwa ukali waimbaji MWANZO kabisa mwa zoezi kuwa;"jamani mbona leo siwaelewi namna mnavyo imba/TOENI Sauti/Mnaimba kama hamtaki/Naomba kwanza wote msimame n.k...
SOMO lililo pita tulijifunza juu ya tabia ya sehemu ya ndani ya kijisanduku cha sauti(VOICE BOX/LARYXN):Waweza rejea katika ukurasa wetu huu.NDANI ya kiji sanduku hiki kuna kijisehemu laini sana kiitwacho (VOCAL FORD/VOCAL CORD).Sehemu hii ina tabia ya kusinyaa na kubadilika hali yake kutokana na mazingira au hali ya hewa,mfano,ubadilipo mazingira yenye joto au baridi huchukua muda kujishape na yale mazingira,kadharika ukiwa unaongea hutenda tofauti kabisa na pale uimbapo.HIVYO si sahihi kuingia kwenye uimbaji moja kwa moja pasi kuandaa koo kwa mazoezi andalio(VOCAL WARM UP)Hapa naomba umielewe mpendwa hapa na maanisha vocal warm up na si VOCAL EXERCISES)tutajifunza tofauti ya haya mambo mawili hapo mbele.
SASA ili uweze imba kwa uhuru na sauti bora yenye ujazo ni lazima mishipa ya koo lako iwe huru kwa msawazo(RELAXATION).Moja ya mishipa inayo weza mpelekea muimbaji kuimba/kuto imba kwa muda mrefu ni mishipa ya kichwa iliyopo nyuma ya shingo karibu na kisogo,ndio maana usikia watu kulalamika naumivu ya kichwa(STRAINING IN BACK MUSCLES) baada ya kuimba kwa muda mrefu.Waweza jaribu hapo ulipo kufungua kinywa chako mpaka mwisho wako kisha ona ni wapi mishipa ya vuta utagundua ni nyuma ya shingo.ZOEZI HILI LA KITAALAMU BAADA YA TAFITI ZA KISAYANSI ndio suruhisho la matatizo hayo mawili (Tone~vocal fatigue na Straining in back muscles).REJEA PICHA
#VIDOLE VITATU(3) KWA MDOMO.
Hapa unaosha mikono kwa sabuni(ant bacterial soap)kwa maji safi kisha jikaushe kwa taulo safi.
*Ukiwa ume kaa au simama wima weka vidole vitatu kwa kinywa kisha imba herefi hizi; "A E I O U"kwa sekunde15- 35-60,.Baada ya hapo toa vidole kwa mdomo na jaribu ongea au kuimba utaona pumzi na wepesi/uzuri wa sauti. #ZOEZI MBADALA NI HILI
*Pasi vidole fungua kinywa kadri uwezavyo na imba kwa ulimi maneno haya LAGA LAGA LAGA LAGA LAA LAA×2,Kwa sekunde 15-45-60Bila kuruhusu taya na kidevu kucheza.mazoezi hayo yote hufanya kazi moja.
(2) NAMNA YA KUBAJETI PUMZI NA KUIMBA KWA MSAADA WA MISULI YA TUMBO.
Mpendwa msomaji bila shaka umekuwa ukisikia juu ya umuhimu wa kuwa na pumzi kwa muimbaji na uwenda umewahi jiuliza huku kuimba kwa msaada wa MISULI YA TUMBO kukoje??na kuna tofauti gani na kule kuimba kwa kifuani.Wengi wametoa majina mengi mno juu ya namna ya uimbaji wengine hata kunyosheana vidole na kusema:sauti hiyo haitokei tumboni niya puani au kooni:FUATANA NAMI JUU YA UKWELI HUU!!.
kiuhalisia kuna aina nne za sauti japo tatu ndio maarufu sana na ndio zinazo fundishwa na wengi duniani kote nazo ni hizi;
(1)SAUTI YA ASILI (CHEST VOICE)
Aina hii ya sauti mitetemo yake hufanyikia kifuani.hutokea mtu akiwa kwenye msawazo (Relaxation)kama mazungumzo ya kawaida.
(2)SAUTI YA KICHWA (FALSETTO/HEAD VOICE).
Imeitwa jina hili kwa sababu hutokea kwa milindimo ya juu/(RESONANCE) na mvutano wa mishipa ndani(eneo) la kichwa.mlio wake ni kama mlio wa king'ora (POLICE ALARM)
(3)SAUTI MCHANGANYIKO (MIXED VOICE).
Sauti hii ni muunganiko wa sauti hizo mbili juu za awali (namba moja na namba mbili).Aina hii ya sauti humsaidia muimbaji kuimba sauti za mitetemo ya juu (HIGH PITCHED VOICE).Bila kutoka nje ya ufunguo(KEY).
(4)SAUTI KOROMEO (PHARYNGEAL VOICE).
Hii ni sauti ambayo mara nyingi huwa haifundishwi;mlio wake ni kama sauti ya kichwa (HEAD VOICE+...)iimbwayo na mtu aliye na mafua.
HIVYO sauti hizo tatu za juu ndio sauti kuu kwa muimbaji yeyote duniani.tutakuja jifunza kwa undani wakati na maeneo sahihi ya kuzitumia.LEO NITA ELEZA juu ya SAUTI ASILI (CHEST VOICE)ambayo kimsingi ina tegemezwa na misuli ya TUMBO.
MUIMBAJI ataweza imba kwa muda mrefu pasi kuchoka haraka,Sauti kukauka na hata kupata maumivu ya kichwa Akijua umuhimu wa kutumia sauti hii Asili naomba niite ya TUMBO japo si jina la kitaalamu.Uimbaji wa namana hii unatumiwa na waimbaji wengi wakubwa wenye mafanikio duniani hususani walio pitia madarasa ya muziki na sauti,ndio maana wanaweza imba LIVE kwa muda mrefu na Sauti zao kuto choka au kukauka.
UKWELI HALISI JUU YA PUMZI KWA MUIMBAJI NA NAMNA YA KUIBAJETI.
*UPUMUAJI sahihi wa mwanadamu ambao ndio unatakiwa utumike kwa muimbaji ni ule tuna uona kwa MTOTO MCHANGA au kwa mtu mzima akiwa na utulivu wa juu (PUMZIKO/AT CONFORT ZONE).Hapa TUMBO hutoka nje pindi avutapo pumzi na kurudi ndani atuapo nje pumzi.Huu ndio upumuaji sahihi anao takiwa pumua muimbaji pindi anapo imba kinyume na hapo tunasema muimbaji huyu hapumui/imba tokea tumboni bali hutoa KIFUANI AU KOONI.Na waimbaji wengi wasio fuata uimbaji huu huchoka mapema na kuto enda mwendo mrefu katika uimbaji na wengine SAUTI zao kupoteza kabisa mvuto.
MAZOEZI YA KUKUZA PUMZI KWA MUIMBAJI
●Mazoezi ni mengi kama kuruka kamba kwa namna ya kufunga na kuachia pumzi kwa njia ya pua tu,KUOGELEA,na KUKIMBIA uwanjani penye mzunguko safi wa hewa.
LEO tuna jifunza ZOEZI moja la kitaalamu duniani ambalo linapendekezwa kiafya kwa muimbaji na lina matokeo ya muda mfupi sana kwa kukuza pumzi na kukaza misuli ya tumbo ya muimbaji na kumuwezesha aimbe (DEEP VOICE)sauti yenye ujazo na mvuto sana.
●ZOEZI; (SHEE SOUND"UNDER BALANCED&RELAXED SHOULDERS).
※HATUA KUFUATA:
Simama wima mabega yakiwa katika hali ya msawazo.VUTA PUMZI ya kutosha hakikisha TUMBO lina toka NJE pindi uvutapo pumzi.
TOA PUMZI kwa mshindo mkuu (HIGH PRESSURE)kupitia mdomo(MENO yakiwa yame umana ya juu nabya chini kutoa mlio "SHIII" huku ukishusha mabega na kuruhusu tumbo kuingia ndani.
HESABU sekunde kwa saa kuanzia SEKUNDE 10~.....Rudia mara kwa mara utaona mabadiliko kwa muda mfupi.Kwaleo ni ishie hapa.SHALOM!!SHALOM!!Uwe na siku njema.

Wako John Shabani:VOCAl Coacher!!.
WASILIANA NASI
SIMU/WHATSAPP :+255716560094
EMAIL; jshabani2011@gmail.com 
"You are blessed"


 SEHEMU YA PILI:
MBINU KUU NNE ZA KUMUWEZESHA MUIMBAJI KUIMBA VIZURI (TONE NZURI) KWA MUDA MREFU PASI KUPATA MAUMIVU YA KICHWA AU KUCHOKA MAPEMA.
..Shalom!!mpendwa msomaji,

Sasa tuna endelea na sehemu ya nyinginei ya somo letu lenye kichwa tajwa hapo juu.Kumbuka tuli ishia kwa kuangalia njia namba moja;UFUNGUZI WA KOO NA ULAINISHAJI WA MISHIPA YA SHINGO NA YA NYUMA YA KICHWA (REMEDY FOR VOCAL FATIGUE).

Leo tuendelee mbele na kuangalia mbinu ya pili.
(2)KUJIFUNZA NAMNA YA KUBAJETI PUMZI NA KUIMBA KWA MSAADA WA MISULI YA TUMBO.
Mpendwa msomaji bila shaka umekuwa ukisikia juu ya umuhimu wa kuwa na pumzi kwa muimbaji na uwenda umewahi jiuliza huku kuimba kwa msaada wa MISULI YA TUMBO kukoje??na kuna tofauti gani na kule kuimba kwa kifuani.Wengi wametoa majina mengi mno juu ya namna ya uimbaji wengine hata kunyosheana vidole na kusema:sauti hiyo haitokei tumboni niya puani au kooni:FUATANA NAMI JUU YA UKWELI HUU!!.
kiuhalisia kuna aina nne za sauti japo tatu ndio maarufu sana na ndio zinazo fundishwa na wengi duniani kwote nazo ni hizi;
(1)SAUTI YA ASILI (CHEST VOICE)
Aina hii ya sauti mitetemo yake hufanyikia kifuani.hutokea mtu akiwa kwenye msawazo (Relaxation)kama mazungumzo ya kawaida.
(2)SAUTI YA KICHWA (FALSETTO/HEAD VOICE).
Imeitwa jina hili kwa sababu hutokea kwa milindimo ya juu/(RESONANCE) na mvutano wa mishipa ndani(eneo) la kichwa.mlio wake ni kama mlio wa king'ora (POLICE ALARM)
(3)SAUTI MCHANGANYIKO (MIXED VOICE).
Sauti hii ni muunganiko wa sauti hizo mbili juu za awali (namba moja na namba mbili).Aina hii ya sauti humsaidia muimbaji kuimba sauti za mitetemo ya juu (HIGH PITCHED VOICE).Bila kutoka nje ya ufunguo(KEY).
(4)SAUTI KOROMEO (PHARYNGEAL VOICE).
Hii ni sauti ambayo mara nyingi huwa haifundishwi;mlio wake ni kama sauti ya kichwa (HEAD VOICE+...)iimbwayo na mtu aliye na mafua.
HIVYO sauti hizo tatu za juu ndio sauti kuu kwa muimbaji yeyote duniani.tutakuja jifunza kwa undani wakati na maeneo sahihi ya kuzitumia.LEO NITA ELEZA juu ya SAUTI ASILI (CHEST VOICE)ambayo kimsingi ina tegemezwa na misuli ya TUMBO.
MUIMBAJI ataweza imba kwa muda mrefu pasi kuchoka haraka,Sauti kukauka na hata kupata maumivu ya kichwa Akijua umuhimu wa kutumia sauti hii Asili naomba niite ya TUMBO japo si jina la kitaalamu.Uimbaji wa namana hii unatumiwa na waimbaji wengi wakubwa wenye mafanikio duniani hususani walio pitia madarasa ya muziki na sauti,ndio maana wanaweza imba LIVE kwa muda mrefu na Sauti zao kuto choka au kukauka.
UKWELI HALISI JUU YA PUMZI KWA MUIMBAJI NA NAMNA YA KUIBAJETI.
*UPUMUAJI sahihi wa mwanadamu ambao ndio unatakiwa utumike kwa muimbaji ni ule tuna uona kwa MTOTO MCHANGA au kwa mtu mzima akiwa na utulivu wa juu (PUMZIKO/AT CONFORT ZONE).Hapa TUMBO hutoka nje pindi avutapo pumzi na kurudi ndani atuapo nje pumzi.Huu ndio upumuaji sahihi anao takiwa pumua muimbaji pindi anapo imba kinyume na hapo tunasema muimbaji huyu hapumui/imba tokea tumboni bali hutoa KIFUANI AU KOONI.Na waimbaji wengi wasio fuata uimbaji huu huchoka mapema na kuto enda mwendo mrefu katika uimbaji na wengine SAUTI zao kupoteza kabisa mvuto.
MAZOEZI YA KUKUZA PUMZI KWA MUIMBAJI
●Mazoezi ni mengi kama kuruka kamba kwa namna ya kufunga na kuachia pumzi kwa njia ya pua tu,KUOGELEA,na KUKIMBIA uwanjani penye mzunguko safi wa hewa.
LEO tuna jifunza ZOEZI moja la kitaalamu duniani ambalo linapendekezwa kiafya kwa muimbaji na lina matokeo ya muda mfupi sana kwa kukuza pumzi na kukaza misuli ya tumbo ya muimbaji na kumuwezesha aimbe (DEEP VOICE)sauti yenye ujazo na mvuto sana.
●ZOEZI; (SHEE SOUND"UNDER BALANCED&RELAXED SHOULDERS).
※HATUA KUFUATA:
Simama wima mabega yakiwa katika hali ya msawazo.VUTA PUMZI ya kutosha hakikisha TUMBO lina toka NJE pindi uvutapo pumzi.
TOA PUMZI kwa mshindo mkuu (HIGH PRESSURE)kupitia mdomo(MENO yakiwa yame umana ya juu nabya chini kutoa mlio "SHIII" huku ukishusha mabega na kuruhusu tumbo kuingia ndani.
HESABU sekunde kwa saa kuanzia SEKUNDE 10~.....Rudia mara kwa mara utaona mabadiliko kwa muda mfupi.Kwaleo ni ishie hapa.

Wako John Shabani:VOCAl Coacher!!.
WASILIANA NASI
SIMU/WHATSAPP :+255716560094
EMAIL; jshabani2011@gmail.com 

"You are blessed"

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP