THE OFFICIAL JOHN SHABANI AND GOSPEL IN AFRICA BLOG

Welcome to the official blog of the the gospel singer, songwriter and teacher John Shabani. If you are one of the fans among the millions, feel free to get connected with John Shabani and stay updated on this blog.To learn more about John Shaban and his Ministry, please click the about button above.

GET THE LATEST FROM JOHN SHABAN AND THE GOSPEL NEWS COMMUNITY

You will be able to read and review the latest news on John Shabani's tour and other specials. You will also come across the best articles of news on Gospel from all across Africa and the International Community.Please do feel free to review our categories of news and events.

FEEL FREE TO LEARN MORE ABOUT JOHN SHABANI AND HIS MINISTRY

If you wish to learn more about John Shabani and his ministry, please feel free to connect with John Shabani on the social networks. You can keep up with John Shabani and the Gospel in Africa community on both twitter, facebook, google plus and many other more.

STAY UPDATED WITH INTERNATIONAL AND LOCAL GOSPEL NEWS

Gospel in Africa Blog is a comprehensive gathering place for African Gospel music fans. Offering the latest news and information about Local and International Gospel music and news, Gospel in Africa Blog also shares the spotlight with other genres of Christian music that more than ever, seemingly overlap musical genre lines, such as Bluegrass Gospel, Christian Country and others. Singing News, the leading African Gospel and International music Blog, features African and international Gospel lyrics, radio, news, Christian concerts, songs, artists, and more.

GET IN TOUCH AND STAY CONNECTED WITH JOHN SHABANI

If you are interested in contacting and staying in touch with John Shabani then here are the contacts. E- mail: touchingvoice@yahoo.com or , princejohntz@yahoo.com, Mob: +255 754 818 767 or +255 716 560 094, www.facebook.com/john.shabani.

16 October 2015

TUNAKULETEA KIFAA KINACHOTIBU MAGONJWA MENGI TENA KWA HARAKA SANA



 Ni kifaa kinachotibu zaidi ya magonjwa 50. Mamia ya watu waliokuwa wamekata tamaa 
ya kutopona magonjwa yao, sasa niwazima kabisa.








Ni kifaa kinachotumika kwa kulalia kama kitanda, ambacho ndani yake mna kifaa kidogo ambacho hutoa joto kuanzia chini ya makalio hadi shingoni. Kimeundwa kwa kutumia madini aina nne ambayo huleta mabadiliko mwilini haraka sana.
Kinatibu magonjwa kama; Shinikizo la damu, kupooza mwili, kisukari,vidonda vya tumbo, matatizo ya hedhi, uzazi na ugumba, maumivu ya vifundo, ganzi aina zote, aina mbalimbali za uvimbe na saratani, maumivu ya miguu, kupooza kwa mishipa ya fahamu, aleji yangozi na pumu, kupunguza moyo uliovimba n.k

Pia tunavyo vifaa vingine kama kile kinachosaidia kusukuma damu kwa kasi sana mwilini kwa kupitia mfumo maalum wa nerves zinazopatikana miguuni, hivyo kusaidia kurekebisha mfumo mzima wa mwili katika utendaji kazi na kuufanya mwili wako kuwa na nguvu pamoja na ubongo kuwa active. Pia hufanya massage ya mwili mzima(Whole Body Vibration Fitness Massager with Handles) na kupunguza mafuta ya ziada mwilini pamoja na kutibu magonjwa ya aina mbalimbali.
Inawezekana kabisa kwa kupitia vifaa tulivyonavyo, ukawa mzima bila kutumia kidonge wala sindano. Waambie ndugu, jamaa na marafiki.
Kituo kimefunguliwa kinondoni.
Tuwasiliane 0713778778

7 October 2015

YOU MUST NEVER FORGET WHO WAS THERE FOR YOU WHEN NOBODY ELSE WAS!

 John Shabani na Alex Msama wakiwa katika picha ya pamoja, baada ya kutambulishwa kama watendaji wa kampuni ya Msama Promotions, ni katika tamasha lililo andaliwa na kampuni ya hiyo miaka kadhaa iliyopita.

 John Shabani akiwajibika ofisini



Nimekumbuka miaka kadhaa iliyopita tangu mwaka 2004 nikifanya kazi kama msaidizi wa Msama na baadaye nikiwa kama mtaalam na mwalimu wa nyimbo za injili nikiwashauri waimbaji na kuakiki kazi za waimbaji waliokuwa wakizileta katika kampuni ya Msama Promotions.

Nimekumbuka tukiwa kwenye chumba kimoja pale mwananyamala na baadaye kuhamia kinondoni, nimekumbuka wakati ambao nilitembea kwa mguu nikitokea ofisini baada ya kutokuwa na nauli ya kurudi nyumbani na wakati mwingine nililazimika kulala ofisini bila kumwambia mkurugenzi wangu kwani hali ya kifedha ilikuwa mbaya, nimekumbuka wakati nilipobaki ofisini peke yangu wakati wafanya kazi wengine wakishindwa kuvumilia pale ambapo hali ya mshahara haikuwa vizuri, kuna wakati nilifanya kazi kama msaidizi, wakati mwingine kama katibu, wakati mwingine kama mratibu wa masuala Fulani ya kiofini; 
na leo hii Msama Promotions imekuwa ni moja ya makapuni makubwa inayoweza kuandaa matamasha makubwa yanayohudhuriwa na maelfu ya watu.

Ujumbe wangu kwako:
“USIMSAHAU  YULE ALIYESIMAMA NA WEWE KATIKA MWANZO WAKO MDOGO”

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP