24 August 2012

NDOA YA WAKE WATATU "HII KALI YA MWAKA"




Kanisa moja nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, lamfungisha ndoa mume na wake zake watatu!
Fela Anikulapo Kuti, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ametoa mpya kwa walimwengu kwa kufunga ndoa na wanawake watatu.
Duh! Kuna vituko Congo???

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP