29 November 2012

TAMASHAS LA VICTOR ARON KUTIKISA DAR ES SALAA


 
Kutoka kuwa mvuvi wa migebuka na dagaa hadi kuwa mvuvi wa watu, ni Victor Aron, kijana kutoka mwisho wa reli kigoma mwimbaji  huyo wa nyimbo za injili Tanzania na Afrika Mashariki, anakuomba usikose katika uzinduzi wa albamu yake ya KANUNI katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B Assemblies of God kuanzia saa 9:00 mchana na hakutakuwa na kiingilio siku hiyo ya tarehe 2/12/2012.

Unaweza kujipatia  tshirts ambazo unaweza kuvaa wakati wa uzinduzi wake na siku zingine za kawaida, kwani kuvaa hizi tshirts unafanyika BANGO la Yesu. Zinapatika kwa Victor Aron Praise Power Radio Mikocheni B Aseemblies of God na ofisi ya RUMAFRICA sinza Afrikasana Sokoni hapa jijini Dar es Salaam.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP