16 November 2012

MKUTANO MKUBWA WA INJILI KUTIKISA DAR ES SALAAM






Dr. Godfrey Kamese na timu ya wahubiri wa kimataifa  kuwasha moto katika Jiji la Dar es salaam.
Mtumishi huyo wa Mungu raia wa uganda, amekua akizunguka duniani kote akihubiri habari njema za Bwana Yesu na kuwafungua maelfu ya watu waliofungwa na nguvu za giza.


Mkutano huo wa kiamataifa utafanyika katika viwanja vya Biafra Dar es salaam, kuanzia tarehe 5 hadi 9 Decemba. Waimbaji mbalimbali wa kimataifa wataimba. Endelea kufuatilia mengi kuhusu mkutano huo kupitia blog hii.

 ZIARA  NA MIKUTANO MBALIMBALI YA KIMATAIFA

Jipange kuhudhuria

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP