29 September 2011

WAIMBAJI WA INJILI WAPAA MAREKANI




Katika kile kinachoonyesha kukua kwa Muziki wa Injili, sasa waimbaji mbalimbali wa nyimbo za injili, wamekuwa wakifanya ziara mbalimbali huko ulaya na marekani. Baadhi ya waimbaji walio paa majuu kwa sasa, ni mkongwe wa Muziki wa injili Askofu Jangalason. Wengine ni Upendo kilahiro na upendo nkone, hawa wameda majuzi tu na watafuatiw na Christina shusho.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP