24 August 2015

JOHN SHABANI BOOK LAUNCHING - UZINDUNZI WA KITABU CHA JOHN SHABANI


Hatimaye kile kitabu kilichokua kinasubiriwa kwa hamu; kilichoandikwa na John Shabani​ sasa kinapatikana madukani.

Marufuku kukata tamaa ni kitabu kilichobeba majibu ya maswali mbalimbali yanayomkabili mwanadamu, ni kitaba chenye siri ya kuondoka kwenye Umaskini na kuwa tajiri, kwenye Ujinga na kuwa mwerevu, kwenye unyonge/dhaifu na kuwa jasiri, kwenye magonjwa na kuwa mzima, kwenye huzuni na kuwa mwenye furaha, kwenye taabu na shida na kuwa mwenye mafanikio, kwenye kushindwa na kuwa mshindi, kwenye kilio na kujaa kicheko, kwenye aibu, kuchekwa, kudharauliwa na kuitwa mheshimiwa fulani, kwenye dhambi/uovu na kuwa mcha Mungu.

Jipatie nakala yako sasa. Nakushauri mnunulie yule unayempenda, unayetamani afanikiwe kiroho, kiuchumi nk.

Lakini pia unaweza kututumia pesa yako kwa njia ya tigo pesa 0716560094 au mpesa 0759778778 nasi tutakufikishia popote ulipo Tanzania. Bei ni shilingi elfu kumi tu.

kwa mawasiliano zaidi 0713 778778, 0759 778 778









0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP