15 June 2018

TUKIO KUBWA LA UZINDUZI WA WCC CHOIR, KWAYA YA KANISA LA WAREHOUSE CHRISTIAN CENTRE (GHALA LA CHAKULA) LINALOONGOZWA NA MCH. NA MWL. PETER MITIMINGI

Zawadi pekee ya kwaya kwa baba na mama
Mwalimu John Shabani, Mtumishi Peter Mitimingi, saa ya kuabudu.




 Hawa ni mamia ya watu waliohudhuria siku ya tukio.
 Praise team ya kanisa wakimtukuza Mungu

 Baada ya tukio lililotikisa jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla la uzinduzi wa kanisa "GHALA LA CHAKULA - WARE HOUSE CHRISTIAN CENTRE", baada ya miezi michache limefanyika tukio lingine kubwa zaidi ndani ya kanisa hilo, si ligine bali lile la uzinduzi wa kwaya pekee ya kanisa hilo (WCC CHOIR).

Hakika haijawahi kutokea kwa kanisa linaloanza kuwa na kwaya ya zaidi ya watu 50, tena wakiimba kwa ufanisi wa hali ya juu. Hii ni kutokana na mafunzo maalum kutoka kwa mtaalam wa sauti na mwalimu John shabani. Ni kwaya pekee yenye watu wa rika zote.

Tunasababu zote za kumpongeza Mtumishi Peter Mitimingi kwa maono haya makubwa ya kuanzisha huduma itakayoleta ukombozi kwa jamii.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP