8 February 2021

KARIBU TANZANIA MTUMISHI WA MUNGU JETON KEQANI (Wellkommen in Tanzania Gottes Dienner Jeton Keqani)


 Kutoka Ujerumani, ni mtumishi wa Mungu aliyeandaliwa chini ya malezi ya rafiki na mzazi wake wa kiroho Reinhard Bonnke. Mnyenyevu, asiyeta kujisifu, kujitangaza bali kazi zijitangaze zenyewe. Ni zaidi ya rafiki kwangu. Tangu nilipokutana naye nimejifunza unyenyekevu, utulivu, kuona mbali, kumsubiri Mungu, kumsikiliza Mungu nk.

Safari hii anakuja Tanzania kwa makongamano ya uamsho mikoa kadhaa.
Nitaendelea kukujuza lini na wapi.


0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP