27 April 2010

John Shabani akimkabidhi tuzo Spika wa Bunge

Mwalimu wa muziki wa injili Afrika Mashariki bwana John Stephen Shabani,hivi karibuni alimkabidhi tuzo ya heshima Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samweli Sitta; Kwa kutambua mchango wake katika jamii ya Watanzania.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP