29 December 2012

VIONGOZI WA CHAMUITA WAMTEMBELEA MZEE MAKASY

Viongozi wa Chama chamuziki wa injili Tanzania wakiongozwa na Mchungaji Cosmas Chidumule, wamemtembelea mzee Makasy ili kumjulia hali pamoja na kumkabidhi mchango kwa ajili ya matibabu. Mwimbaji huyo mkongwa na mshauri wa chama cha muziki wa injili Chamuita Tanzania, amekuwa akisumbuliwa na tatizo la macho. Viongozi waliomtembelea Mzee makasy ni: Addo November Mwasongwe, John shabani, Stella Joel pamoja na Mzee cosmas Chidumule. Endapo utaguswa kumchangia chochote mzee makasy, wasiliana na viongozi wa chama cha muzili wa injili. Mungu akubariki

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP