13 May 2013

NABII FRORA AWAKUMBUKA VIJANA NA MABINTI, AWAOMBEA BARAKA ZA KUOA NA KUOLEWA



 Baadhi ya akina dada wanaombewa kupata wachumba na nabii Flora wakiwa wamejipanga kupokea baraka kutoka kwa Mungu

 Baadhi ya wababa na vijana walijipanga kwaajili ya kupokea upako wa mafanikio ya kibiashara

Hawa ni baadhi ya watu waliodondoshwa kupitia maombi ya Nabii Flora baada ya kutamka Neno la Upako

Nabii Flora

Ilikua ni jumapili ya kipekee katika kanisa linaloongozwa na Nabii Flora, kwani  vijana na mabinti mbalimbali wamepokea maombezi kutoka kwa nabii huyo, ili Mungu awakumbuke kupata wenzi wa maisha.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP