21 May 2013

NGUVU ZA MUNGU ZAENDELEA KUJIDHIHIRISHAKATIKA UKUMBI WA USTAWI WA JAMII SINZA



 Mchungaji Benjamin Bukuku, akiombea watu waliofurika katika ukumbi wa ustawi wa jamii


Mamia ya watu wameendelea kubarikiwa na  mafundisho ya Mch. Benjamin Bukuku  wa huduma yaKWELI ITAKUWEKA HURU”  YOHANA 8:32.
kupitia mafundisho hayo wengi wanafunguliwa. Maombezi kwa wenye shida mbalimbali yanafanyika pia. Bado hujachelewa, karibu jumapili hii. Mahali kwenye ukumbi wa chuo cha ustawi wa jamii Bamaga. saa ni saa 1:00 asubuhi mpaka saa 3:00.asubuhi Najioni saa 10:00mpaka saa 12:30 . waimbaji wengi unaowafahau wamekuwa wakimtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji 
 Mch. Yohana
 Sarah Mvungi
 Madam Ruth

Pia msikilize Mchungaji huyo katika kipindi kinachorushwa katika radio ya Praise power, kila siku ya jumatano saa 4 usiku
 Karibuni sana

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP