6 September 2014

HATIMAYE MWANADADA ALINE VYUKA AKAMILISHA ALBAM YAKE MPYA

Ilikuwa si kazi rahisi!
Kwa muda mfupi sana mwanadada Aline vyuka chini wa usimamizi wa mwalimu John Shabani, ameweza kukamilisha Albam yake mpya ya nyimbo za Injili kwa nfumo wa Audio na Video.

Mwimbaji huyo anayeishi nchini Marekani, pamoja na shughuli nyingi zinazomkabili pia ikizingatiwa bado anaendelea na masomo yake, lakini kwa ajili ya mzigo wa kumtumikia Bwana, alifunga safari hadi Tanzania na kufanikiwa kurekodi Albam hiyo ilibeba jina "NI SALAMA".
 Ndani ya Shilo Studio - Boko Dar es salaam

 Akiredi mkanda wa video

Mwonekano wa kazi yake mpya

Unaweza kumuunga mkono Aline kwa kunua  nakala za kazi zake. Kwa habari zaidi tembelea ukurasa wa facebook wa Aline Vyuka, au wasiliana na Emmanuel Mabisa au pia wawezatembelea ofisi za Rumaafrika - Dar es salaam.

Kila la heri Aline

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP