20 March 2015

SIKU 3 ZA SEMINA YA KUVUNJA MADHABAU INAYOKUNYWA DAMU YA WAKONGOMANI

 Mtume saimon sambamba na wanajeshi wa kongo, wakimlimlia Mungu

Ni siku tatu za semina ya kuvunja madhabau inayokunywa damu ya wakongomani. Mnenaji mkuu katika semina hiyo ni Mtume Simon (Nabii kijana) ktoka Tanzania. Semina hiyo imefanyika huko Goma - DRC Kongo, ambapo pamoa na mambo mengine, yamefanyika maombi maalum ya kuombea nchi ili Mungu ainusuru na umwagaji wa damu isiyokuwa na hatia.
 Upande wa serikali, uliwakilishwa na wanajeshi kadhaa wa jeshi la kongo (FADRC).



 Maombi maalum kwa ajili ya nchi ya kongo

Mwenyei wa semina
Overseer  Tridon

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP