2 August 2017

MUNGU NI MKUBWA

WANADAMU WANAWEZA KUKUCHUKIA, WAKAKUFANYIA KILA AINA YA UOVU, WAKATAMANI UFE, LAKINI KWA MSAADA WA MUNGU UTABAKI SALAMA.



Mtoto aliefungwa nyororo ili afe miaka kadha iliyopita na kutupwa uko Nigeria, akaokotwa na jeshi la polisi akalelewa na baloz uko uko Nigeria; sasa yuko vizuri, mwenye afya njema kwa muujza wa Mungu. Huwezi kuamini  kwamba hata dalasani.

Hakika mwacheni Mungu aitwe Mungu.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP