3 October 2014

PONGEZI KWA MILCA KAKETE KWA KUSHINDA TUZO



 Huyu ndiye Milcah Kakete, mwanamama anayetuwakilisha vyema kwa nyimbo nzuri za injili


Pichani ni Milca Kakete akiwa na tuzo aliyoshinda ya best artist of 2014 ya African Gospel Music Contest. Video ya wimbo wa Nakung'ang'ania ndio uliompa ushindi 

Naungana na wapenzi wote wa nyimbo za Injili, kumpongeza  Milca Kakete kwa kushinda tuzo kwenye Africa Gospel Music Contest iliyofanyikia kwenye jiji la Washington DC, USA. Huyu ni kati ya wapeperusha bendera ya Tanzania ambaye mchango wake wa kuutangaza Muziki wa Injili Tanzania tunauona. Na zaidi tuzidi kumuombea kwani ana project nzuri sana zinakuja kwa utukufu wa Bwana.

John Shabani na upngozi mzima wa blogu hii, 
watanzania na Afrika tunakupongeza sana!

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP