31 October 2011

MUME WA MAREHEMU ANJELA CHIBALONZA AJIPATIA UBAVU MPYA

Hatimaye aliyekuwa mume wa marehemu Angela Chibalonza, ajipatia ubavu mwingine. Mtumishi huyo wa Mungu ameoa hivi karibuni huko DRC kongo. Picha hizi ni baada ya wiki chache za ndoa alipohudumu ni mke wake mpya katika kanisa la Mikocheni B assemblies of God, linaloongozwa Na Mchungaji Getrude Rwakatare.
Kuhusu jina la mke wake na habari zote za harusi hiyo tutakujulisha hivi karibuni.
                    Mchungaji Muliri akiimba mke mpya hivi karibuni katika kanisa la mikocheni B

                          Mke wa Elisha muliri akiimba kwa hisia kali



0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP