19 December 2011

JOHN SHABANI, FARAJA NTABOBA, UPENDO KILAHIRO NA CHIDUMULE NDANI YA VIDEO MOJA

                                 John Shabani na Upendo kilahiro baada ya kuimba wimbo maalum wa miaka 50 ya huru wa Tanzania kwenye uwnja wa uhuru.





                                    John Na Faraja Ntaboba wakirekodi mkanda wa video






Wapenzi wa nyimbo za injili wakae mkao wa kula, Album mpya ya John shabani alioshirikisha waimbaji nyota wa nyimbo za injili wa Tanzania, DRC kongo na Uganda sasa kukamilika mwanzoni mwa January katika mfumo wa audio na video. Hii ni albam ya kipekee na ni kwamara ya kwanza kuwepo na albam ya mwimbaji ilioshirikisha waimbaji mbalimbali nyota. Hii ni ktokana na moyo wakipekee alionao Mwalimu John shabani, kwani amekua akijitolea kuinua vipaji mbalimbali vya waimbaji bila kubagua. Baadhi ya waimbaji katika albam hiyo ni: Faraja Ntaboba (Mwimbaji maarufu anaye tikisa Afrika kutoka kule kongo Drc, Cosmas Chidumule, Upendo kilahiro, Askofu John komanya(Aliyetamba na kibao cha zawadi gani nitamtolea Bwana), Jane miso (Mama wa Omayo), Christina Matai(Mwang'onda), Tina Marego, X-tano Family group (Kampala Uganda) na wengine kabao.

Albam hiyo inasimamiwa na kusambazwa na kampuni ya Msama Promotions.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP