8 December 2011

Tanzania gospel all stars kuimba kwenye maadimisho ya miaka 50 ya uhuru

Hatimaye waimbaji wa injili (Tanzania All Gospel Stars) walioshiriki kurekodi wimbo wa miaka 50 ya uhuru wa Tanzania chini ya uongozi wa Camuita(Chama cha muziki wa injili Tanzania), wameingizwa katika ratiba ya uimbaji katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru. Maadhimisho hayo yatafanyika kesho katika viwanja vya uhuru/kiwanja cha taifa. Waimbaji hoa wameombwa kuwahi mapema yaani saa moja kamili asubui, ili kupewa ratiba kamili pamoja na taratibu nyingine. Pia kila mshiriki avae sare ya maadhimisho. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP