18 October 2012

TAMASHA KUBWA LA KUMTUKUZA MUNGU




HAIJAWAHI KUTOKEA, Waimbaji wazuri unaowajua, kwapamoja watamsifu na kumwabudu Mungu Baba. Waandaaji wa tamash hilo ni COME AND SEE PROMOTERS katika kanisa la TAG Magomeni mikumi jumapili hii ya tarehe 21 kuanzia saa 8 mchana hadi saa 12 jioni hakuna kiingilio hii sio yakukosa
 WOOOOTE MNAKARIBISHWA

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP