29 July 2013
MAZOEZI YA KUSIFU NA KUABUDU CHINI YA MWALIMU JOHN SHABANI NA WAALIMU WENGINE KWA AJILI YA MAANDALIZI YA MKUTANO WA MWINJILISTI BONNKE YAENDELEA VIZURI
10:47
No comments
Zaidi ya waimbaji 500 kutoka makanisa mbalimbali, wakimsikiliza mwalimu John shabani, alipokuwa akielekeza kuhusu sifa na mbinu za kuwa mwimbaji bora
Mratibu
wa mikutano ya Bonnke barani Afrika, Mwinjilisti Pascal Ado kutoka Togo,
akipongeza mazoezi pamoja na kuongea na waimbaji wanaoendelea kuhudhuria
mazoezi hayo
Je wewe ni mwimbaji, kwaya au kikundi, mnakaribishwa
kuungana waimbaji wengine kwa ajili ya maandalizi ya...
22 July 2013
UZINDUZI WA KIKUNDI CHA KUSIFU NA KUABUDU KATIKA MKUTANO WA MWINJILISTI BONNKE WAFANYIKA DAR, KARIBU WAIMBAJI 500 WAJISAJILI.
22:00
No comments

Zaidi ya waimbaji 500 ktoka kwaya, vikundi na waimbaji binafsi wakiimba kwa pamoja katika uzinduzi wa kuandaa kikundi cha sifa, kitakachotumika kwenye mkutano wa mwinjilisti Bonnke
Mratibu wa mikutano ya Bonnke barani Afrika, Mwinjilisti Pascal Ado kutoka
Togo, akiongea na waimbaji
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
18 July 2013
13 July 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)
HEART OF WORSHIP
