10 July 2013

MAELFU YA WATU WAENDELEA KUFUNGULIWA KATIKA SEMINA INAYOENDELEA KATIKA KANISA LA MIKOCHENI B’ ASSEMBLIES OF GOD - MLIMA WA MOTO



 Mwimbaji wa kimataifa, Sarah K, akimtukuza Mungu akitika siku ya ufunguzi wa semina

 Mchungaji Getrude Rwakatare akiombea watu

Mnenaji wa semina, Askofu Mrisa

 Sehemu ya umati wa watu wanaoendelea kuhudhuria smina hiyo

 Mchungaji Msaidizi, Noah Lukumai akifungua kwa maombi

Papag Mphella akiweka mambo sawa

                                                    Mwinjilisti Stanley akimtukuza Bwana
Ni siku nane za kukupeleka kwenye hatma yako. Haijawahi kutokea, moto wa Roho Mtakatifu, unateketeza kila roho chafu, kila mikosi na balaa na kila kifungo. Mnenaji katika semina hiyo ni Muhubiri wa kimataifa, Askofu Mrisa akishirikiana na mwenyeji wake Dk Getrudw Rwakatare 

Panga kuhudhuria semina hiyo. 
Kwa mawasiliano zaidi: 0715524441

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP