18 July 2013

MCHUNGAJI DK. GETRUDE RWAKATARE AONGOZA MAOMBI YA KUWEKA WAKFU ALBAM YA MWIMBAJI EMMANUEL MGOGO



Ile album ijulikanayo kwa jina la “Msikilize Mungu” ya kwake Emmanuel  Mgogo, imewekwa wakfu katika kanisa la Mikocheni B’ Assemblies of God. Album hiyo iliyorekodiwa katika studio ya Eck Production, imekuwa gumzo  na hasa ule wimbo wa Msikilize Mungu.

Kabla mwimbaji huyo hajaanza kuimba jumapili hii, aliweza kuzileta Cd kadhaa madhabahuni, ndipo Mchungaji kiongozi wa Mlima wa moto pamoja na jopo la watumishi walipoziinua na kuziweka nyimbo hizo wakfu kwa maombi, ili Mungu amtumie zaidi kijana huyo.

Endelea kunyenyekea, ili Mungu akuinue zaidi.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP