17 March 2012

MWIMAJI MAARUFU WA BONGO FLEVA RENEE LAMIRA, AWA MTUMISHI WA BWANA


Bila shaka unamkumbuka mwanamuziki au mwimbaji Renee Lamira(pichani).Aliwahi kutamba vilivyo na albamu yake iliyoitwa Ngoma ya Kwetu.Lakini je unafahamu kwamba Renee siku hizi ameachana na nyimbo zinazoitwa za “kidunia” na badala yake anafanya nyimbo za injili Kama inavyojulikana kwa wengi Renee Lamira aliyekuwa kinara wa wa nyimbo za Bongo fleva na kupata heshima na umaarufu mkubwa dhidi ya mashabiki wake, Alitamba kwa album yake ya NGOMA YA KWETU pia alifanikiwa kutumbuiza Kora hukoo Afrika Kusini, Renee kwa sasa ameokoka, na zaidi ya hayo pia ni mchungaji katika huduma ya CHRIST EMBASY tawi la mbezi Dar ea salaam

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP