9 June 2013

WATU 225,000 WAHUDHURIA MKUTANO WA MWISHO WA BONNKE HUKO NAIROBI




          “225,000 people today attended the last meeting of the CfaN  Gospel Crusade in Nairobi/Kenya. Blessings were flowing like a river. Praise the Lord”.

                                 Siku ya pili ya mkutano huo
                       CfaN Gospel Crusade in Nairobi, Kenya, DAY 2



Siku ya jumamosi, watu 200.000 walihudhuria
CfaN Crusade in Nairobi, Kenya, Saturday, June 8, 2013, at UHURU PARK. 200,000 people in attendance.


Hakika ilikua ni siku ya kipekee  kwa wa Kenya na  nchi jirani. Ishara na ajabu zimeonekana katika viwanja vya  Uhuru  Park, ambapo Mungu amemtumia mtumishi wake Reinhard Bonnke  kwa jinsi ya tofauti.
Utukufu na heshima apewe Bwana.

    "Picha zote nimezipata kutoka  kwa  Mwinjilisti Bonnke"

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP