“225,000
people today attended the last meeting of the CfaN Gospel Crusade in
Nairobi/Kenya. Blessings were flowing like a river. Praise the Lord”.
CfaN Gospel Crusade in Nairobi, Kenya, DAY 2
Siku ya jumamosi, watu 200.000 walihudhuria
CfaN Crusade in Nairobi, Kenya, Saturday, June 8, 2013,
at UHURU PARK. 200,000 people in attendance.
Hakika ilikua ni siku ya kipekee kwa wa Kenya na nchi jirani. Ishara na ajabu zimeonekana
katika viwanja vya Uhuru Park, ambapo Mungu amemtumia mtumishi wake
Reinhard Bonnke kwa jinsi ya tofauti.
Utukufu na heshima apewe
Bwana.
"Picha
zote nimezipata kutoka kwa Mwinjilisti Bonnke"
0 comments:
Post a Comment