24 October 2013

JANGALASON AENDELEA KUWASHA MOTO WA INJILI NDANI NA NJE YA TANZANIA









                                     Moja ya watu ambao wamekuwa wakijibidisha katika kueneza Injili ya Bwana Yesu, ni rafiki yangu na rafiki wa wengi, Askofu Charles Jangalason. 

                                  Kila kukicha maelfu ya watu wamekuwa wakimpokea Bwana yesu kupitia mikutano inayohubiriwa na Jangalason. Tutaendelea kukuletea ziara mbalimbali mtumishi huyo, akiwa ndani na nnje ya nchi. Endelea kutembelea 

Unapopiga magoti, mkumbuke pia Askofu Charles Jangalason

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP