20 October 2013

MAMIA WAHUDHURIA IBADA YA HARUSI YA MTOTO WA MCHUNGAJI GETRUDE RWAKATARE









Ilikuwa ni sherehe ya kipekee ndani ya kanisa la Mlima wa Moto ambapo kijana Tibe Rwakatare na Bi Helen Benedict, ambapo watu mbalimbali wakiwemo maaskofu, wachungaji, wageni mbalimbali kutoka ndani na nnje ya nchi wamehudhuria ibada hiyo. Chini ni picha mbalimbali za matukio ya ibada ya nndoa hiyo na baadaye tutaendelea kukuwekea picha za sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa kisasa wa Mlimani City.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP