20 January 2014

LUCY NATASHA NA PRINCESS MONICAH, KINADADA WANAOTUMIA MUDA WAO VIZURI KATIKA KUMUHUBIRI YESU DUNIANI

Yakitajwa majina ya kinadada waliotumia ubinti wao katika kumtumikia Mungu duniani, basi majina ya Natasha na Monica lazima yatajwe. Kina dada hawa kutoka Kenya wamekuwa wakizunguka Afruka na duniani, kwenye mikutano ya injili, semina na makongamano, wakifundisha na kuhubiri.


Mamia ya wagonjwa, watu wenye ulemavu na wenye shida mbalimbali wamewekwa huru kupitia huduma za watumishi hao
Mimi mwenyewe binafsi nawakubali sana watumishi hawa, nimejifunza mambo mengi kutoka kwao hasa wakati fulni nilipokutana na mtumishi Nataha.
Hakika inawezekana kinadada kutumia udada wao katika kumtumikia Mungu tena kwa uaminifu.

Endelea kuwaombea.




 Hapa wakiwa na Baba wa kiroho, Askofu Kitonga




0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP