27 May 2014

RAIS BORA DUNIANI ASIYEAMINI KUHUSU UWEPO WA MUNGU



Huyu ndiye rais maskini duniani asiyeamini kuhusu Mungu wala uwepo wake

 Nyumba yake binafsi anamoishi

 Akitembea mtaani na mmbwa wake mmoja tena mwenye miguu mitatu

 Akiwa katika shughuli zake za kilimo

Hana mpango wa kwenda salon kunyoa, shughuli hiyo hufanyika nyumbani
Leo nimeamua kumleta kwenu Raisi masikini kuliko wote duniani anaitwa José Mujica
Kwamajina Kamili naitwa José Alberto "Pepe" Mujica Cordano
ni raisi wa Uruguay Tokea mwaka 2010..Alizaliwa 20 May 1935, ambaye ndiye rais bora kwa sasa akifuatiwa na rais wa Tanzania, Dk. J.K Kikwete, akifutiwa na Barack Obama wa Marekani
Raisi huyu kwa mwezi anapokea mshahara wa dola $12,000 kwa mwezi  lakini cha ajabu kabisa raisi huyu hutoa asilimia 90% ya mshahara wake kama sehemu ya msaada kwa wananchi wake wasiojiweza na hivyo kupokea mshara wa dola $775  hivyokumpelekeakuwa moja ya maraisi masikini zaidi ulimwenguni..
 Baada ya kuapishwa kuwa Raisi wa Uruguay alikata kuishi ikulu na kwenda kuishi nje ya kidogoya mji mahalipalipo shamba la mke wake.. Kitu cha thamani anachomiliki Raisi huyu ni gari aina ya Volkswagen Beetle, yenye Thamani ya dola $1,945..
Raisi Mujica alishapigwa risasi zaidi ya mara sita na kufungwa jela kwa zaidi ya miaka 14.
Mambo kadhaa kuhusu Rais Mujica:
1. Yani nguo zake zinafuliwa kawaida na kuanikwa nje tu, pia maji anayotumia ni ya kisima ambacho kina magugu mengi.
2. Analindwa na Polisi wawili na mbwa na alikataa kukaa kwenye nyumba ya serikali aliyopewa na badala yake kaenda kuishi kwenye nyumba ya mke wake huko mashambani ambako kuna mazingira ya kimasikini sana ikiwemo barabara mbovu nje kidogo ya mji wa Montevideo.
3. Rais na mkewe hufanya kazi ya kuotesha maua wao wenyewe yakiwa ni maisha ya kipekee kusikia ni ya Rais wa nchi.
4. Mujica anatoa asilimia tisini 90% ya mshahara wake wa kila mwezi kusaidia watu masikini huku akisema ‘naweza kuonekana kama mzee wa jadi lakini maisha haya nimeyachagua mwenyewe, naweza kuishi vizuri na kile nilichonacho.
5. Rais huyu kwa mwezi matumizi yake hayazidi shilingi milioni moja laki nne za Kitanzania ambapo kwenye kuorodhesha kiwango cha kipato cha kila kiongozi kwa mwaka na mali binafsi ikiwa ni lazima nchini humo kwa viongozi mbalimbali wa serikali mwaka 2010, alikutwa na kiasi cha dollar $ 1,800 tu kiasi ambacho hakizidi shilingi milioni tatu za kitanzania.
6. Gari anayotumia ni aina ya Volkswagen Beetle ambayo ni ya mwaka 1987
7. Mujica aliwahi kupigwa risasi mara sita na alitumikia kifungo miaka 14 jela ambapo muda wake mwingi kizuizini alikua katika mazingira magumu na kutengwa, mpaka alipoachiliwa huru mwaka 1985 wakati Uruguay ilivyorudi kwenye demokrasia.
8. Akiwa jela Mujica anasema hali ile ilimbadilishia mtazamo wake juu ya maisha na anakwambia ‘mimi naitwa rais maskini lakini mimi wala sihisi umaskini wowote, watu masikini ni wale ambao kazi yao ni kuishi maisha ya gharama ambayo inawasababisha kufanya kazi sana ili waendelee na maisha ya gahrama na kupata zaidi’

9. Ni Rais pekee asyeamini kuhusu Mungu au uwepo wa Mungu.

Haya ni baadhi ya maneno Ambayo aliyasema akiwa anahojiwa na kituo cha habari cha BBC
 "I'm called 'the poorest president', but I don't feel poor. Poor people are those who only work to try to keep an expensive lifes
tyle, and always want more and more," he says.
"This is a matter of freedom. If you don't have many possessions then you don't need to work all your life like a slave to sustain them, and therefore you have more time for yourself," he says.
"I may appear to be an eccentric old man... But this is a free choice."
The Uruguayan leader made a similar point when he addressed the Rio+20 summit in June this year: "We've been talking all afternoon about sustainable development. To get the masses out of poverty.
"But what are we thinking? Do we want the model of development and consumption of the rich countries? I ask you now: what would happen to this planet if Indians would have the same proportion of cars per household than Germans? How much oxygen would we have left?
"Does this planet have enough resources so seven or eight billion can have the same level of consumption and waste that today is seen in rich societies? It is this level of hyper-consumption that is harming our planet."

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP