17 June 2014

CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI TANZANIA KUKULETEA MBEYA GOSPEL FESTIVAL

Hawa ni wachache kati ya wengi watakaomtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji, maigizo pamoja na neno la Mungu siku hiyo.

Uongozi wa Chama cha muziki wa Injili Tanzania unawakaribisha wakaaji wote wa mbeya na maeneo ya jirani, kuja kubarikiwa na waimbaji mbalimbali wa injili kutoka mikoa mbalimbali. Lengo likiwa kwanza ni kumtumikia Mungu, kuhamasisha watu kujiunga na chama ili kudumisha umoja wetu; Kumbuka umoja ni nguvu.
Karibuni sana.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP