12 June 2014

WAIMBAJI WA INJILI WALIOOA NA KUOLEWA

 Mr & Mrs John Lisu

 Jojo Jose & Matilda

 Stella Joel & husband

 Mr & Mrs David Robert

Mr &Mrs Addo November

 Mr & Mrs Joshua Makondeko



 Mr & Mrs Jangalason

Jesca BM & Husband

 Mr & Mrs Bony Mwaitege









Upendo Nkone & Husband

Mr & Mrs Victor Aron



Nimeweka habari hii baada ya kuambiwa mara nyingi eti karibu waimbaji wengi wa injili Tanzania hawajaoa au kuolewa, mimi nasema si kweli, kwa kuthibitisha hilo hawa hapa chini ni baadhi ya waimbaji wachache kati ya wengi wenye ndoa zao.

Kuoa ni mpango kamili wa Mungu, hivyo wenzangu namimi foleni hii imesogea sasa ebu tuingie katika taasisi hii ili kutimiza haki yote na pia kujihepusha na maswali yasiyokuwa na sababu…
Kwa wale nilioweka picha zao, samahani kama nimemkwaza mtu, hasa kwa wale wasiotaka kujulikana kwamba ameoa au kuolewa, lakini pia picha hizi sijazipata mbinguni, 
ni humuhumu mtandaoni

Mungu awabariki wana ndoa
Mungu wasaidie wale ambao bado
Amen!

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP