15 June 2014

ON FATHER’S DAY MWANZILISHI WA KANISA LA T.A.G MAGOMENI AMEKABIDHIWA ZAWADI YA GARI

Hapa Mch. Sasali akijiandaa kukata utepe wa zawadi ya Gari alilokabidhiwa na kanisa la T.A.G Magomeni





Hilo hapo gari lenyewe



 Sasali family: Mch. Sasali, Mch. Matthew Sasali, 
                                      Happy Sasali, Mama yetu, Samuel Sasali na Joel Sasali

Natanguliza ujumbe huu kutoka ukura wa facebook wa  Sam Sasali:
On Father's Day Dad and Mum wamepokea zawadi ya Toyota Xtrail kutoka kwa Kanisa la Magomeni TAG Magomeni Kama Ishara ya Kutambua Ubaba wake. Happy Fazas Day. God bless u Pastor Dunstan Kanemba. Happy Birthday”.

Ninachoweza kukisema ni kama vile ambavyo wengine wameshasem; Katika vitu ambavyo vimenibariki leo ni kupata taarifa ya habari njema sana kwangu kwamba Mch. Sasali (Sr.) amepewa zawadi ya gari 4WD na kanisa ambalo amelilea sana kwa miaka mingi, Magomeni TAG. Nakumbuka Miaka kadhaa iliyopita nikiwa mwalimu wa kwaya na shemasi katika kanisa la T.A.G Mwanga Kwa Askofu Mulenda Omary, Kati ya watumishi walinibariki sana ni Mch. Nathaniel Sasali, kipindi hicho akiwa mwinjilisti wa kitaifa wa Tanzania Assemblies Of God. 

Nilijikuta nikiwa na Spiritual connection na mtumishi huyo; na baada ya muda mfupi nilijielekeza Dar na ghafla nikawa mwalimu wa kwaya ya hapohapo magomeni T.A.G

Moja ya watumishi walionifanya niwe hivi nilivyo na nitakavyokua, ni Mzee Nathanieli Sasali. Kuna kitu kizuri sana pale tunapotambua michango ya wachungaji na watumishi wa Mungu ambao ni genuine, katika ujana wao na utu uzima wao, hawa wazee wamekuwa wanamtumikia Mungu sio kwa sababu "huduma inalipa" ila kwa sababu wana wito.


Ahsanteni sana Magomeni TAG,  kwa kutambua mchango wa Baba!

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP