9 June 2014

WAJANE WATOKWA NA MACHOZI YA FURAHA BAADA HUDUMA YA RLM KUWAKUMBUKA



 Mtumishi wa Mungu, Mary Lutumba akitoa zawadi ya upendo kwa wajane

 Mtumishi David Lutumba akiwatia moyo kina mama hao baada ya kuwapa pesa za kujikimu ki maisha

 Mama akitokwa na machozi ya furaha




Ni katika semina kubwa iliyoandaliwa na huduma ya River of Life – Mlima wa mabadiliko ikiongozwa na watumishi wa Mungu, Mary na David Lutumba. Ujumbe wa semina ulikua:
“KUKOMESHA  MSIBA WA MWANAMKE” (marko 5:34)Wanawake na kinamama  wengi wamefunguliwa katika semina hiyo.

Kama ilivyo kawaida ya blogu hii yenye wapenzi wengi duniani, lengo letu ni kutangaza huduma mbalimbali, tutaendelea kukujulisha mengi zaidi kuhusu huduma hiyo na wapi wanapatikana, endelea kufuatilia hapahapa!...

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP