25 May 2012


BREAKING NEEEEEEEWZ!!!!!
TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE KUANZA MCHAKATO WA KUMTAFUTA "MWABUDISHAJI HALISI" KATIKA HOTEL YA THE ATRIUMS SINZA AFRIKASANA

Mchakato huu unaanza leo saa 3 asubuhi na mpaka sasa watu wamenza kuingia kwa kasi sana.
Mchungaji Charles Mbogoma (kulia) akiwa kazini
Stage kwaajili ya waimbaji
Mtoto na mchungaji wa Mchungaji Mbogoma akilifunga banner
Wahudumu wa The Atriums Hotel wakiwa katika maandalizi
Kazi ya Mungu inasonga na wale wampendao
Blogger na Design, Rulea Sanga akikurushia matukio. Kumbuka hilo bango ndiye aliyelitengeneza..Ukiwa na kazi yoyote ya design unaweza kukutana nami kwa +255 715 85 15 23
 Blogger Samsasali akitupia vitu katika blog yake ya www.samsasali.blogspot.com
 Mwenyekiti Makaranga akiwaandikisha washiriki
 Mchungaji Charles Mbogoma (kushoto) akifuatilia uandikishaji
 Washiriki
Katibu wa TWE, Nasobile 

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP