30 May 2012

JOHN SHABANI AFANYIWA MAOMBI MAALUM

 
 Mwalimu wa nyimbo za injili Afrika Mashariki, 
John Shabani, akiombewa na watumishi wa Mungu

John Akiimba na kucheza namama yake wa kiroho, Dr. Getrude Rwakatare.

Ilikua ni Jumapili ya uwepo wa Mungu. Baada ya kushusha sifa huku akiimba na kwaya yake The Joybringers, Watumishi waMunguWakiongozwa na Dk. Getrude Rwakatare, waliamua kumuombe John Shabani, Ili Mungu aendelee kukitunza kipawa cha utunzi na uimbaji, pamoja na kumfanikisha katika maono yake. Utukufu na heshima apewe Bwana.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP