14 May 2012

HAPPY MNALE – MWANDISHI WA HABARI ALIYEDHAMIRIA KUINUA HUDUMA ZA WAIMBAJI WA INJILI KUPITA MAKALA MBALIMBALI



Kama kuna watu wanaostahili kupongezwa katika kuchangia kuinua huduma na vipaji vya wasanii wa Injili nchini, basi mwanadada Happy Mnale ni miongoni mwao.
Pamoja na makala mbalimbali, pia amekuwa mstari wa mbele kutangaza huduma na kazi za waimbaji wa nyimbo, wanamuziki, maproducer, ma MC na kila aina ya makundi yanayojihusha na shughuli za Injili. Makala hizo za injili zinapatikana katika gazeti la TANZANIA DAIMA kila siku ya ijumaa.

Waimbaji wengi wamepata kujulikana zaidi kuhusu huduma zao, maisha yao, mipango na maono yao na kila jambo linalo wahusu waimbaji wa injili linalofaa jamii kulifahamu.
Ewe mwimbaji unayetaka maendeleo ya huduma yako, usisite kuwasiliana na mwanadad huyo, hakika hutabaki kama ulivyo sasa.

Mawasiliano:
0754818767, 0712003539

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP