21 May 2012

JOHN SHABANI-KUFANYA TAMASHA LA KUABUDU, KULIOMBEA TAIFA LINALOITWA "SAA YA KUABUDU-WORSHIP HOUR" NA KUZINDUA BLOG YAKE


Baada ya kufanya vizuri katika kuwaongoza waimbaji wa injili nchini Tanzania na kuimba wimbo maalumu wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru Tanzania, sasa ameaandaa tamasha la kuabudu litakalofanyika katika kanisa la TAG Magomeni siku ya tarehe 10.06.2012 kuanzia saa 8:00 mchana

Mgeni rasmi ni Waziri wa Habari , Vijana na utamaduni, Dr. Fenella Mukangara.
Pia waheshimiwa mbambali, Maaskofu, wachungaji, viongozi mbalimbali wamethibitisha kuhudhuria siku hiyo. Itakuwa ni siku ya kwaya, bandi na waimbaji binafsi kumwabudu Mungu pamoja, wakiongozwa na watumishi mbalimbali.  
Tunahitaji maombi na ushauri wenu ili kufanikisha siku hiyo.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP