28 May 2012

MTANGAZAJI WA PRAISE POWER RADIO YA DAR ES SALAAM AFUNGA PINGU Z MAISHA

Erick Brighton ktk pozi na mkewe mara baada ya kutoka Church

Hatimaye mtangazaji wa Praise Power Radio, bwana Erick Brighton afunga pingu za maisha. Mtangazaji huyo ambaye amekuwa akiongoza vipindi vya usiku na kugusa mioyo ya watu wengi, sasa ameagana na maisha ya upweke. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa la Tanzania Assemblies of God mikocheni B mlima wa moto kwa mchungaji Gertrude Rwakatare. Uongozi wa blog hii  unawapongeza maharusi na kuwatakia baraka na ulinzi wa Mungu katika maisha yao.

0 comments:

HEART OF WORSHIP

HEART OF WORSHIP